
Kikao cha tatu cha mkutano wa tatu wa Bunge la 11 kimeendelea tena
Dodoma leo April 21 2016 , shughuli nzima iliyoanza asubuhi ni maswali
na majibu kwa Waziri Mkuu, Pia baadhi ya Wizara zilihusishwa katika
maswali hayo, ambapo Mawaziri na Manaibu Waziri wa Wizara hizo
walilazimika kuyatolea majib...