
Mbwana Ally Samata amezaliwaTarehe 7 mwenzi wa 1 mwaka 1992 katika mkoa wa Dar es salam. Katika maisha yake ya soka alianza kucheza mpira katika klabu ya African Lyon kwa muda wa miaka miwili kutoka 2008 hadi 2010 alipohamia katika klabu ya Simba na kucheza mwaka mmja tu.
Mwaka 2011 alihamia katika klabu ya Congo ambayo ni TP Mazembe aliweza kufunga magoli 60 pia katika timu ya taifa...