KINGAZI BLOG: 06/09/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, June 09, 2016

MAAJABUU!!!!!!Mwanamke Alala kitandani siku 547, ababuka mwili

 Kulwa Alfre alivyobabuka mgongo. MWANZA: Kweli hujafa hujaumbika! Mwanamama Kulwa Alfred (37), mkazi wa Pasiansi jijini hapa amelala kitandani kwa takribani siku 547 ambazo ni sawa na mwaka mmoja na nusu akisumbuliwa na matatizo ya miguu kiasi cha kumsababishia eneo kubwa la mwili wake kubabuka. Akisimulia kwa majonzi, jirani wa Kulwa ambaye hakutaka jina lake liandikwe gazetini, aliliambia...

HASARA YA TSH 773,882,066 KUTOKANA NA WATUMISHI HEWA MKOANI MBEYA

 Serikali Mkoa wa Mbeya imebaini watumishi hewa 170 kutokana na uhakiki ulifanywana timu ya vyombo vya dola iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa mbeya tarehe 20 April mwaka huu na idadi ya watumishi hewa imesababisha hasara ya she 773,882,066 Hayo amesema leo na Mkuu wa mkoa wa Mbeya alipokutana na waandishi wa habari kutangaza matokeo ya timu akiyoiunda kuhakiki watumishi hewa Pamoja na hasara hiyo...

Maajabu ya Mapacha hawa. Wanashare kila kitu.

Wanaitwa Ayara na Jayara Ratun wana umri wa miaka 41 wamezaliwa Barsirat,Bengala nchini India wana mume mmoja kwa muda wa miaka 22 sasa kwa kuwa wana UKE mmoja tu,miguu mitatu,mikono ndio inawasaidia kutembea, madaktari wameshawahi kusema ya kuwa wanaweza kuwafanyia upasuaji ili kuwatenganisha lakini wenyewe wamegoma na kusema wanapendelea kuendelea kuwa hivi.Walishawahi kupata mimba na kujifungua...

RICH MAVOKO AONGEA HAYA KWA MARA YA KWANZA TANGU AJIUNGE NA LABEL YA WCB

Mkali wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambae amesain mkataba na WCB-WASAFI hivi karibuni na sasa ngoma zake zote zitatoka chini ya lebo hiyo na kusema kuwa wasani wanaweza kufanya kazi pamoja na kuufikisha muziki wa Bongo sehemu fulani. ‘’Nimependa sana nilivyosaini na inaonekana kabisa vijana tunaweza kufanya kazi pamoja na kufanya muziki wetu kufika sehemu fulani, unajua nilipoletewa jambo hili kwa...

Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 9, ikiwemo na habari ya Bajeti ya Magufuli Pasua Kichwa

...

Huu hapa Mchanganuo Mzima wa Bajeti ya Serikali 2016/ 2017 Iliyosomwa Jana Bungeni.

SERIKALI imewasilisha Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2016/2017 ya Sh trilioni 29.53, ambayo nguvu kubwa imewekwa katika kukusanya mapato kwa kulinda viwanda vya ndani na kubana matumizi ya serikali ili kuelekeza sehemu kubwa ya matumizi katika maeneo ya vipaumbele. Katika bajeti hiyo, bidhaa za lazima zinazogusa maisha ya wananchi ikiwemo mafuta ya petroli na dizeli pamoja na ushuru wa barabara na maji...
 

Gallery

Popular Posts

About Us