KINGAZI BLOG: 06/15/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, June 15, 2016

Rais Magufuli awataka watanzania kuungana na Waislamu walio katika mfungo kuliombea taifa

...

Ajali !!!Bus la TAHMEED lateketea kwa moto

Leo BASI LA TAHMEED LATEKETEA KWA MOTO MCHANA HUU Basi la abiria mali ya Kampuni ya Tahmeed, lililokuwa likitokea Jijini Tanga kuelekea Jijini Dar es salaam, likiteketea kwa moto mchana huu katika eneo la Komkonga.  Inaelezwa kuwa Ajali hiyo imetokea wakati Basi hilo likiwa limesimama baada ya Abiria mmoja kuomba msaada tutani "WA KENDA KUCHIMBA DAWA" ambapo baadhi ya Abiria wengine nao walishuka...

PICHA:Hii hapa ndinga mpya ya Superstar GIGY MONEY

Gigy Money has Bought brand New Car, Finally Gigy Money Dreams has become true,&nbs...

STIVE NYERERE AWAPA 'BIG UP' HARMONIZE NA IYOBO KWA KUWATULIZA AUNT EZEKIEL NA JACKLINE WOLPER

Mmoja kati ya wasanii wakongwe wa filamu nchini, Steve Nyerere amempongeza msanii wa muziki, Harmonize pamoja na dancer wa Diamond, Mosei Iyobo kwa kuwapa utulivu wasanii wenzake wa filamu Aunt Ezekiel na Jacqueline wolper. Muigizaji huyo ambaye alikuwa MC katika iftar ya GSM iliyofanyika Kigamboni weekend hii na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali, alisema anawashukuru wasanii hao wa muziki kwa uwamuzi...

Chadema Yaondoa Kesi Yake Dhidi ya Polisi

Chadema imeondoa mahakamani kesi dhidi ya polisi ya kupinga amri ya kupiga marufuku maandamano na mikutano ya hadhara, baada ya kubainika mapungufu ya kisheria katika hati yao ya mashtaka.  Akizungumza na mwandishi wa habari hii ofisini kwake jana, Jaji Mohamed Gwae aliyepangwa kusikiliza shauri hilo alitaja mapungufu ya kisheria yaliyobainika kwenye hati ya mashtaka ya Chadema kuwa ni pamoja...

Picha za harusi ya  Samuel Eto'o akifunga ndoa na , mpenzi wake wa siku nyingi Georgette Tra Lou huko Italy

Cameroonian professional footballer, former Barcelona and Chelsea striker, Samuel Eto'o got married today to his long-term partner and mother of his two children, Georgette Tra Lou in a stunning ceremony that took place in Stezzano, Italy. ...

RUBY NA ASLAY WAFUNGUKA JUU YA HUSIANO YAO

  Msanii wa muziki wa bongo Ruby ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kusema yeye na Aslay si wapenzi kama ambavyo watu wanasema bali anadai hiyo ilikuwa ni njia kutangaza kazi yao mpya ambayo Rubby ameshiriki. Kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rubby alidai ilibidi watafute kiki kuwa anatoka kimapenzi na Aslay ili waweze kuitangaza...

WEMA SEPETU KATIKA MMUONEKANO MPYA WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI

Picha:wema Sepetu akiwa katika muonekano mpya kipindi hiki cha ramadhani...

Jenerali Ulimwengu Ataka Kikwete Ashitakiwe.....Adai Kaisababishia Serikali Hasara Kubwa

Mwanahabari nguli nchini Jenerali Ulimwengu amesema Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete anapaswa kushtakiwa mahakamani kwa kuisababishia hasara Serikali kutokana na mabilioni ya shilingi yaliyotumika katika mchakato wa Katiba ambayo haikupatikana.  Akizungumza katika tamasha la nane la Kigoda cha Mwalimu Nyerere katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana, Jenerali Ulimwengu alisema fedha nyingi...

PICHA : MUONE SHILOLE ANAVYONEKANA KIPINDI HIKI CHA RAMADHANI

...

Maalim Seif Azungumza mazito kwa Wamarekani Kuhusu Sakata Zima la Zanzibar

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad amesema vitendo vya unyanyasaji wapinzani vinavyoendelea nchini ni maradhi yanayokikumba chama tawala.  Maalim Seif aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano uliondaliwa na Kituo cha Elimu cha Kimkakati cha Kimataifa cha Marekani (CSIS) juzi, uliofanyika Washington DC nchini Marekani.  Akizungumzia kukandamizwa kwa wapinzani nchini, Maalim...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo jumatano Juni 15 kwenye habari za kitaifa,kimataifa ,michezo

Naanza kwa kukuletea Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya June 15 pia like page yetu tanzaniampyasasa blog na tufollow instagram na twitter@tanzaniampyasasa ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us