KINGAZI BLOG: 04/20/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, April 20, 2016

Hatimaye Mwili Uliozama na Gari Baharini Jijini Dar es Salaam Wapatikana

Mnamo majira ya saa 10 alfajiri, gari aina ya Hiace  iliteleza toka kwenye kivuko na kutumbukia katika bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam. Gari hiyo ilikuwa na abiria wawili. Mpaka majira ya asubuhi, jeshi la zimamoto na uokoaji lilifanikiwa kuupata mwili mmoja na likaendelea kuutafuta mwili wa pili. Mchana  huu  umepatikana mwili wa pili  wa Nice Karagwe...

HATIMAYE Barakah Da Prince Amvisha Naj ‘Pete ya Uchumba'

Barakah Da Prince ambaye kwa sasa amekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na msanii wa kike, Naj, amedai kupiga hatua zaidi kuelekea kwenye uchumba. Wamefunguka exclusively kwa Bongo5 kuhusu uhusiano wao: “Yeah ni kweli mimi na Naj tuna uhusino na hadi kwetu nimeshamtambulisha na yeye kwao najulikana na pia nimemvisha pia pete, sio ya uchumba ila ni Promise Ring,” amesema Barakah. “Ndio...

Msomi avua nguo zote kwa kufungiwa ofisi

Stella Nyanzi alikuwa akimuunga mkono mgombea urais Kizza Besigye Hatua ya mwanamke mmoja msomi ya kuvua nguo nchini Uganda imezua mjadala mkali nchini hum...

Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna

Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 200...

Gari Latumbukia Baharini Wakati likisubiri Kivuko cha Kigamboni leo Asubuhi..Lilikuwa na Watu Wawili Ndani

   Habari mbaya imetufikia kuwa leo asubuhi eneo kivukoni Kigamboni kuna gari ambalo lilikuwa linasuburia kivuko ili kuvuka limeingia baharini huku likiwa na watu wawili ndani yake mpaka sasa...

Bunge Laanza Kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lugumi

Hatimaye taarifa ya utekelezaji wa mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises, iliyoshinda zabuni mwaka 2011 ya kufunga mashine za kuchukua alama za vidole katika vituo vya Polisi vya wilaya nchi nzima kwa gharama ya Sh bilioni 37, umetua ndani ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na kuanza kujadiliwa. Akizungumza jana bungeni, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Aeshi Hilaly...

Baada ya kutumbuliwa jipu na Rais Magufuli jana Mkurugenzi wa jiji la dar WILSON KABWE asema haya.

Baada ya kusimamishwa kazi na Rais Magufuli jana aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la dar ndugu Wilson Kabwe ameibuka na kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake akiongea mna mwandishi wetu aliyemhoji  bwana Kabwe alikuwa na haya ya kuzungumza.. Mwandishi;Umezipokeaje hizi taarifa za wewe kusimamishwa kazi na Rais baada ya tuhuma zilizotolewa juzi na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ndugu Paul makonda? Kabwe;Mimi...

Rais Magufuli: Shinyanga Ina Watumishi Hewa 226.

BOFYA  KUPATA APP YA TANZANIAMPYASASA..BOFYA HAPA Idadi ya wafanyakazi hewa katika mkoa wa Shinyanga ambao awali ulidaiwa kutokuwa na wafanyakazi hao kabisa, imeongezeka na kufikia 226.Hayo yamebainishwa leo na Rais John Magufuli katika uzinduzi wa Daraja la Kigamboni, ambapo alisisitiza kuwa serikali yake haitawafumbia macho viongozi ambao kwa namna moja au nyingine wataruhusu mianya...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 20 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

...

Baraka da prince:Huwa sigongei magari ya wenzangu.

Msanii anayefanya vizuri katika game la bongo fleva Baraka da prince ameweka wazi na kukanusha taarifa zilizovuma kwamba huwa anaazima magari na kutamba nayo mjin...

Lady Jaydee kwenda South Africa kushoot Video ya #Ndi ndi ndi.

Baada ya miaka 10 ya kufanyakazi na muongozaji wa video Justin Campos, Komando Jide au Lady Jaydee amerudi tena kwake kufanyanaye kazi, kutengeneza video ya wimbo wake wa #NdiNdiNdi Taarifa hiyo ya kufanyakazi na Justin Campos ameitoa Lady Jaydee mwenyewe kwenye ukurasa wake wa Instagram, baada ya kupost video ikimuonyesha Justin Campos akisema ni heshima kwake kufanyakazi na Jaydee...
 

Gallery

Popular Posts

About Us