
Mnamo majira ya saa 10 alfajiri, gari aina ya Hiace iliteleza toka
kwenye kivuko na kutumbukia katika bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam.
Gari hiyo ilikuwa na abiria wawili. Mpaka majira ya asubuhi, jeshi la
zimamoto na uokoaji lilifanikiwa kuupata mwili mmoja na likaendelea
kuutafuta mwili wa pili.
Mchana huu umepatikana mwili wa pili wa Nice Karagwe...