KINGAZI BLOG: 06/04/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, June 04, 2016

Makonda aomba boti za kivita kutoka China.

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameomba boti za kivita kutoka nchini China ili kusaidia ulinzi katika ukanda wa bahari ya Hindi. Aliomba boti hizo Dar es Salaam jana wakati alipotembelea boti ya Jeshi la Wanamaji kutoka China waliokuja nchini kwa ziara ya kirafiki wakiwa wametoka kutekeleza jukumu la kushiriki katika ulinzi katika Ghuba ya Aden. Alisema upatikanaji wa boti hizo utasaidia...

Waziri aomba majina ya majipu ya BoT

WAZIRI wa Fedha, Dk Phillip Mpango, amemtaka Mbunge wa Tabora Kaskazini, Almas Maige (CCM) kumpa ushahidi ikiwemo majina ya wafanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), aliowatuhumu kufanya biashara na mwajiri wao. Dk Mpango alisema hayo Jumatano usiku alipokuwa akijibu hoja za wabunge kuhusu Bajeti ya Wizara ya Fedha na Mipango na kuongeza kuwa akipewa ushahidi huo, ataufanyia kazi. Awali katika...

Lulu DivA na Gigy Money Wapeana Makavu Live

WAUZA nyago kwenye video za Kibongo, Lulu Abass ‘Lulu Diva’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ hivi karibuni wamechimbana mikwara na kupakana shombo kila mmoja akimuona mwenzake kituko kutokana na maneno anayoyasikia juu yake. Ishu nzima ilianza baada ya mwandishi wetu kupata ubuyu kutoka kwa mmoja wa watu wa karibu wa Lulu Diva kuwa anamhofia Gigy Money kumfunika katika gemu wanalofanya. Baada ya mwandishi...

Magazeti ya Leo Jumamosi ya Juni 4, kwenye habari za kitaifa,kimataifa,udaku na michezo

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us