KINGAZI BLOG: 08/02/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, August 02, 2016

Mwanafunzi UDOM auawa kwa kupigwa na wenzake Wakati Wakitoka Baa

Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, Kitivo cha Sayansi ya Jamii katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Fredrick Joseph (25), ameuawa kwa kushambuliwa kwa kipigo na watu wanaosadikiwa kuwa ni wanafunzi wenzake wakati akitoka klabu ya pombe (Bar). Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la chuo hicho ambapo mwanafunzi huyo alisikika akipiga kelele ndipo walinzi wakafika na kumkuta akiwa anagalagala...

Waziri Mkuu akataa madawati ya Wakala wa Misitu TZ "

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekataa kupokea msaada wa madawati uliotolewa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) baada ya kubaini yametengenezwa chini ya kiwango. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekataa kupokea msaada wa madawati uliotolewa na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) baada ya kubaini yametengenezwa chini ya kiwango. “Ofisa Elimu njoo kagua haya madawati yaliyo mazuri nitayapokea na yaliyobaki...

Mch. Msigwa asems lazima atalipa kisasi

KEJELI za Rais John Magufuli dhidi ya vyama vya upinzani lazima zijibiwe, tena bila hofu Ni kauli ya Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini leo alipozungumza na mtandao huu kuhusu mashari aliyopewa kuhusu kufanya mkutano wake wa hadhara kwenye jimbo hilo. “Magufuli (Rais Magufuli) amekuwa akitukashfu kuwa vyama vya upinzani ni vya hovyo hovyo na ameua nyoka imebaki mikia inachezacheza....
 

Gallery

Popular Posts

About Us