KINGAZI BLOG: 04/04/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, April 04, 2016

Odinga ampigia saluti magufuli

 Bw Odinga amekuwa kaskazini magharibi mwa Tanzania kwa siku tatu Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga amesema ana imani Rais wa Tanzania John Magufuli ataisaidia Tanzania kukabiliana na changamoto zinazoikabili. Bw Odinga amerejea nchini Kenya baada ya kumaliza mapumziko ya siku tatu eneo la Lubambangwe, wilaya ya Chato mkoani...

Magufuli afuta sherehe za sikukuu ya kumbukumbu ya muungano

Hii ni mara ya pili kwa Rais Magufuli kufuta sherehe za sikukuu. Rais wa Tanzania John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na badala yake akawataka Watanzania...

CUF: Hatumtambui Dr. Shein kama rais wa Zanzibar

Chama cha CUF kilisusia uchaguzi wa marudio Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar kimesema hakimtambui Dkt Mohamed Ali Shein aliyetangazwa ku...

Flavour- DANCE (Official Video)

...

Eddy Kenzo - VIVA AFRICA(OFFICIAL VIDEO)

...

MUBANDA FT WALTER CHILAMBO - QUEEN(AUDIO)

...

Baghdad Ft. Profesa J Don Koli & Nikki Mbishi - Mtazamo (Remix)

...

ICE PRINCE - SEASON(OFFICIAL VIDEO)

...

SKALES - I WANT YOU (OFFICIAL VIDEO) [download]

...

Diamond, Kiba sasa ni vita ya kifamilia

   Wakali wa Bongo fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ Na Nassib Abdul  ‘Diamond platnumz’ Dar es Salaam: Imevuja! Harakati za kusaka mafanikio na kufika mbali kimuziki zimeibua jipya kat...

Magufuli atoa neno Chato.

Rais John Magufuli akishiriki misa ya Jumapili ya pili ya Pasaka na Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga iliyofanyika Kanisa la Bikira Maria Parokia ya Chato mkoani Geita jana. RAIS John Magufuli amesali Ibada ya Jumapili kijijini kwao wilayani Chato kwa mara ya kwanza...

MAFURIKO YALETA BALAA KIJIJI CHA CHACHENE HUKO DODOMA VIJIJINI

Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi imeleta athari kubwa katika Kijiji cha Chenene Kata ya Haneti Tarafa ya Itiso, Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma na kukosesha makazi zaidi ya kaya 40....

ST.JOSEPH UNIVERSITY YAPIGWA STOP KUDAHILI WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2016/17

Minister for Education and Vocational Training Joyce Ndalichak...

HALIMA MDEE AMTAKA MAGUFULI KUTAJA POSHO NA MARUPURUPU ANAYOPATA

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee amemuomba Rais John Magufuli kuweka wazi posho na marupurupu anayoyapata ili Watanzania wajue kiasi halisi anachokipata mbali na mshahara wake....

Haya Hapa Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 4 2016 kwenye, Habari za kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.

April 4 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog,  pia kwenye twitter @tanzaniampysasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us