Bw Odinga amekuwa kaskazini magharibi mwa Tanzania kwa siku tatu
Aliyekuwa Waziri
Mkuu wa Kenya Raila Odinga amesema ana imani Rais wa Tanzania John
Magufuli ataisaidia Tanzania kukabiliana na changamoto zinazoikabili.
Bw
Odinga amerejea nchini Kenya baada ya kumaliza mapumziko ya siku tatu
eneo la Lubambangwe, wilaya ya Chato mkoani...
Monday, April 04, 2016
Magufuli afuta sherehe za sikukuu ya kumbukumbu ya muungano
Hii ni mara ya pili kwa Rais Magufuli kufuta sherehe za sikukuu.
Rais wa Tanzania
John Magufuli ameahirisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na
badala yake akawataka Watanzania...
SHARE!
CUF: Hatumtambui Dr. Shein kama rais wa Zanzibar
Published Under
ZANZIBAR
Chama cha CUF kilisusia uchaguzi wa marudio
Chama kikuu cha
upinzani visiwani Zanzibar kimesema hakimtambui Dkt Mohamed Ali Shein
aliyetangazwa ku...
SHARE!
Baghdad Ft. Profesa J Don Koli & Nikki Mbishi - Mtazamo (Remix)
Published Under
NEW AUDIO

...
SHARE!
Diamond, Kiba sasa ni vita ya kifamilia
Published Under
TOP STORIES
Wakali wa Bongo fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ Na Nassib Abdul ‘Diamond platnumz’
Dar es Salaam: Imevuja! Harakati za kusaka mafanikio na kufika mbali
kimuziki zimeibua jipya kat...
SHARE!
Magufuli atoa neno Chato.
Published Under
KITAIFA
Rais
John Magufuli akishiriki misa ya Jumapili ya pili ya Pasaka na Waziri
Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga iliyofanyika Kanisa la Bikira
Maria Parokia ya Chato mkoani Geita jana.
RAIS John Magufuli amesali Ibada ya Jumapili kijijini kwao wilayani
Chato kwa mara ya kwanza...
SHARE!
MAFURIKO YALETA BALAA KIJIJI CHA CHACHENE HUKO DODOMA VIJIJINI
Published Under
KITAIFA

Mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia juzi imeleta athari kubwa
katika Kijiji cha Chenene Kata ya Haneti Tarafa ya Itiso, Wilaya ya
Chamwino mkoani Dodoma na kukosesha makazi zaidi ya kaya 40....
SHARE!
ST.JOSEPH UNIVERSITY YAPIGWA STOP KUDAHILI WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2016/17
Published Under
KITAIFA
Minister for Education and Vocational Training Joyce Ndalichak...
SHARE!
HALIMA MDEE AMTAKA MAGUFULI KUTAJA POSHO NA MARUPURUPU ANAYOPATA
Published Under
KITAIFA

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee
amemuomba Rais John Magufuli kuweka wazi posho na marupurupu anayoyapata
ili Watanzania wajue kiasi halisi anachokipata mbali na mshahara wake....
SHARE!
Haya Hapa Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 4 2016 kwenye, Habari za kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO
April 4 2016
naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog, pia kwenye twitter
@tanzaniampysasa.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)