
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na Celtic Chris Sutton amepigilia msumari wa moto kwa Arsenal kwa kusema kwamba kamwe wasitarajie ubingwa kama timu hiyo itaendelea kuwa chini ya Arsene Wenger.
Katika dirisha hili la usajili Arsenal wamemsajili Granit Xhaka tu, huku wenzao Manchester City, Manchester United na Chelsea wakiwa wamefanya usajili wa maana kuimarisha vikosi vyao kwaajili ya msimu...