KINGAZI BLOG: 08/03/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, August 03, 2016

Arsernal kutwaa taji chini ya Arsene Wenger ni ndoto_ Sutton

Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na Celtic Chris Sutton amepigilia msumari wa moto kwa Arsenal kwa kusema kwamba kamwe wasitarajie ubingwa kama timu hiyo itaendelea kuwa chini ya Arsene Wenger. Katika dirisha hili la usajili Arsenal wamemsajili Granit Xhaka tu, huku wenzao Manchester City, Manchester United na Chelsea wakiwa wamefanya usajili wa maana kuimarisha vikosi vyao kwaajili ya msimu...

PICHA ZA UTUPU ZA MKE WA TRUMP ZAVUJA

IMEVUJAA hatimaye picha za uchi za mke wa mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya Chama cha Republican, Donald Trump aitwaye Melania Trump zimevujaa na kusambaa kwa kasi kwenye mitandao mingi ya kijamii. Picha hizo zilipigwa tangu mwaka 1995 miaka mitatu kabla ya kukutana na Trump, wakati huo Melania akiwa na umri wa miaka 25 na kuchapishwa kwa mara ya kwanza kwenye gazeti la New York Post mwishoni...

NDEGE YA EMIRATES YAWAKA MOTO IKIWA NA WATU 300

Ndege ya Shirika la  Emirates iliyokuwa ikijiandaa kutua katika Uwanja wa Kimataifa wa Dubai imewaka moto  na kusababisha taharuki kubwa kwa abiria waliokuwamo kwenye ndege hiyo. Ndege hiyo Boeing 777 ilikuwa na abiria 282 na wafanyakazi 18 na hakuna aliyejeruhiwa. Abiria wote waliokolewa kupitia mlango wa dharura wa ndege hiyo iliyouwa ikiruka kutoka Trivvandrum, India. Waliondolewa...

Basi linalotembea majini na nchi kavu lazinduliwa China

 Amini usiamini hili ni basi la kipekee linaloruhusu magari kupitia chini yake Basi la kipekee lenye urefu wa mita mbili juu linaloruhusu magari ya kibinafsi kupitia mvunguni mwake limefanyiwa majaribio katika mji waHebei kaskazini mwa Uchina. Basi hilo linalopigiwa upatu kutatua kabisa tatizo la usafirishaji wa watu katika miji yenye idadi kubwa ya watu ama Transit Elevated Bus (TEB) limefanyiwa...

VYUO 175 NCHINI VYAPEWA NOTISI YA KUSHUSHWA HADHI NA NACTE

Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), Mhandisi Steven Mlote(kushoto)akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,wakati wa kutoa tamko la baraza hilo kuvifutia Usajili baadhi ya vyuo na vyuo 175 vimepewa notisi ya kushushwa hadhi,5 vyafutiwa Usajili na 41 vimetakiwa kujisajili mara moja,ikiwa katika jitihada za kuboresha elimu ya ufundi nchini,ikiwa katika...
 

Gallery

Popular Posts

About Us