KINGAZI BLOG: 03/25/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, March 25, 2016

Rais MAGUFULI atoa zawadi za pasaka

Rais JOHN POMBE MAGUFULI amekabidhi zawadi zenye jumla ya shilingi milioni tisa kwenye vituo ishirini na nne vya watoto wa mitaani ...

SAMSUNG yazindua simu mpya

Kampuni ya kimataifa ya vifaa vya elektroniki ya Sumsung imesema simu aina ya Sumsung Galaxy s7 na S 7 Edge zimetengenezwa kwa teknolojia ambayo inamwezesha mteja kuitumia kwa ufanisi SAMSUNG yazindua simu mp...

Mr May D - I Wanna Know [Official Video]

...

LWP - MWENYE NYUMBA NA MPANGAJI(AUDIO)

...

Mashowllah - Yesterday (Official Video)

...

Waliokamatwa kwa uchangu wahukumiwa

  Machangudoa wakiwa chini ya ulinzi wa polisi. WAREMBO waliokamatwa hivi karibuni kwenye msako wa machangudo na wazururaji uliofanywa na jeshi la polisi, wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo ya Chamwino, mkoani hapa na kusomewa hukumu . Katika msako wa Machi 18, mwaka huu, warembo; Mariam Hamis (mkazi wa Mwembesongo), Shani Hassani (mkazi wa Mawenzi), Zawadi Shekilema (hakujulikana),...

Uliye naye ni mtu sahihi kwako au umebugi?

Hakuna jambo linalowasumbua watu wengi katika uhusiano wa kimapenzi kama kumtambua mwenzi sahihi. Upo msemo maarufu mitaani kwamba ni bora ukosee mambo mengine yote lakini siyo...

Faida/ hasara za kurudiana na mpenzi wako wa zamani.

Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha tena jamvini tuangalie sehemu ya pili ya mada yetu. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu suala la kuachana kisha kurudiana kwa watu ambao wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi. Pia tukatazama hasara au athari wanazoweza kukumbana watu wanaoishi kwenye aina hii ya uhusian...

Zari adaiwa kumpa makavu laivu Kajala

Zarinah Hassan ‘Zari’. Kufuatia madai kuwa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekuwa na katabia ka’ kujiweka kimahaba kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakati Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa Sauzi, madai yametua mezani blog hii kuwa, kimenuka kati ya Zari na Kajal...

Ndege yanaswa KIA ikitorosha tumbili 61

WAKATI Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe akiwasimamisha kazi mara moja wakurugenzi wanne na mameneja saba wa Kanda wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Idara ya Wanyamapori kutokana na usimamizi mbovu wa rasilimali za nchi,...

Haya hapa Magazeti ya leo March 25 2016 kwenye,habari za`kitaifa kimataifa Udaku, na michezo

March 25 2016 nakuletea haabari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter @tanzaniampya news bl...
 

Gallery

Popular Posts

About Us