Maafisa wanne wa polisi mjini Dallas nchini Marekani wamepigwa risasi na kuuawa huku wengine saba wakijeruhiwa wakati wa maandamano ya kupinga mauaji ya watu weusi.
Maafisa wa polisi katika mji ulio katika Jimbo la Texas, wanasema mauaji hayo yametekelezwa na washambuliaji wawili wa kulenga shabaha (snipers).
Msako mkali unaendelea kuwasaka washambuliaji hao, mkuu wa polisi wa Dallas David...
Friday, July 08, 2016
Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa ya July 8, Ikiwemo Habari ya Magufuli Kufyeka Kizazi cha JK
Published Under
MAGAZETINI LEO

...
SHARE!
Bozi: Wa ku-date na mimi ajipange sana!
Published Under
TOP STORIES
MSANII wa filamu Bongo ambaye pia anauza nyago kwenye video mbalimbali za wanamuziki, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ amesema kutokana na maisha yalivyo, mwanaume anayetaka ku-date naye lazima ajipange sana.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Bozi alisema yeye kama msichana anayekwenda na wakati hawezi kukubali kujiweka kwa mwanaume kapuku kwa kuwa, ikiwa hivyo lazima atachepuka tu.
“Unajua sababu ya wasichana...
SHARE!
Msemaji wa Yanga Jerry Muro Afunguka Baada kufungiwa Kujishughulisha na Soka Tanzania.
Published Under
MICHEZO

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Yanga Jerry Muro jioni ya July 7 2016 ameingia kwenye headlines baada ya shirikisho la soka Tanzania TFF kupitia kamati ya maadili, kutangaza kumfungia mwaka mmoja kujihusisha na soka na faini ya Tsh milioni 3.
Jerry Muro amefungiwa na kamati ya maadili kwa makosa mawili, moja alilifanya mwaka 2015 la kukaidi kulipa faini ya Tsh milioni 5 iliyoamuliwa kulipa...
SHARE!
Tatizo la kuvurugika mzunguko wa hedhi
TATIZO la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale waliomaliza majukumu yao ya uzazi.
Tatizo linapojitokeza huleta athari nyingi kwa mwanamke kwa kumfanya ashindwe kupangilia mipango yake.
JINSI TATIZO LINAVYOTOKEA
Mwanamke hulalamika kutofahamu vizuri siku zake, hajui anaingia lini, yaani damu inaweza tu kutoka na inachukua muda mrefu hata zaidi...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)