KINGAZI BLOG: 05/29/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, May 29, 2016

JWTZ Washusha Abiria Kwenye Magari yao na Bodaboda ili Washiriki Zoezi la Usafi

KATIKA hali isiyo ya kawaida, askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Mkoani Mtwara jana walisimamisha vyombo vya usafiri barabarani asubuhi na kushusha abiria waliokuwemo, ili washiriki kutekeleza agizo la Rais John Magufuli la kufanya usafi. Mwandishi alishuhudia abiria wakishushwa katika magari, pikipiki katika maeneo mbalimbali ya mji wa Mtwara na kutakiwa kushiriki zoezi la usafi.   Ufanyaji...

Magazeti ya Leo Jumapili ya May 29 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na stori nyingine kali

Jumapili ya leo  Mei 29 naanza kwa kukuletea habari zilizopo kwenye magazeti ya tanzania kama zilivyopewa uzito wa juu kwenye habari za kitaifa kimataifa na mchezo,usisahau kulike page yetu facebook.com/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa ...

Wanafunzi 7000 UDOM watimuliwa

Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimewasimamisha masomo zaidi ya wanafunzi 7,000 wa kozi maalumu ya ualimu wa sayansi kwa ngazi ya stashahada na kuwataka waondoke chuoni hapo mara moja. Jana, lilitolewa tangazo chuoni hapo likiwataka wanafunzi hao kuondoka kati ya jana hadi leo saa 12 jioni. Tangazo hilo lilieleza kuwa kutokana na matatizo yaliyopo katika ufundishaji wa stashahada hiyo, Serikali kupitia...
 

Gallery

Popular Posts

About Us