KINGAZI BLOG: 03/20/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News

Sunday, March 20, 2016

New AUDIO | Lady Jaydee - Ndi Ndi Ndi | Download

...

New AUDIO | T.I.D x Dully Sykes & Joh Makini - Confidence | Download

...

Official VIDEO | Bob CAT Ft. LAVA LAVA - STRESS

...

=New AUDIO | Algebra ft Stereo, P The Mc, Kigi Rhymes, Nician, Hood C, Canty Didas & Kaa la Moto - SADAKA YA VERSE REMIX | Download

...

New AUDIO | Peter Msechu - Nikumbatie BWANA | Download

...

Msichana anayevuja damu machoni

Huyu ni Marnie-Rae Harvey ambaye hutokwa na damu machoni lakini madaktari hawaelewi chanzo chake ni nini. Msichana huyo mwenye umri wa miaka 17 anasema kuwa hawezi kutoka nje na hana marafiki kwa sababu kila mara huwa nyumbani kwa...

Vikosi vya Kenya na al-Shabab vyapigana

  Wanajeshi wa Kenya wanasema waliwaua wanamgambo 21 wa al shabbab...

PAPA FRANCIS aingia Instagram

Kiongozi wa kanisa KATOLIKI duniani PAPA FRANCIS, amezindua mtandao wake mpya wa kijamii wa INSTAGRAM, ambao anatarajiwa kuutumia kwa ajili ya mawasiliano mbalimbali na watu Kiongozi wa kanisa KATOLIKI duniani PAPA FRANC...

OBAMA kutembelea CUBA

Mamia ya mashabiki wa kundi la muziki cha ROLING STONE cha nchini UINGEREZA, wameendelea kujikusanya katika eneo ambako kikundi hicho kinatarajiwa kutumbuiza Rais BARACK OBAMA wa MAREKA...

Wananchi wa zanzibar wapiga kura

Hatimaye Wananchi wa Zanzibar hii leo wamejitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi wa marudio uliofanyika Kisiwani Unguja na Pemba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein akipiga kura katika uchaguzi wa...

OLE SENDEKA Msemaji mpya wa CCM

Chama cha mapinduzi CCM kimemteua Mbunge wa Zamani wa SIMANJIRO mkoani Manyara, CHRISTOPHER OLE SENDEKA kuwa msemaji wa chama hicho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtangaza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Christopher Ole Sendeka kuwa Msemaji Rasmi wa CCM leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam Akitangaza hatua hiyo katika mkutano...

Ni historia leo kwa Zanzibar

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha SalimJecha. UCHAGUZI wa marudio Zanzibar unafanyika leo, huku Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 20 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo

March 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,/Tanzaniampya news blog na twitter/TZmpyasas...
 

Gallery

Popular Posts

About Us