KINGAZI BLOG: 07/15/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, July 15, 2016

Pingamizi la Tundu Lissu Kutaka Afutiwe Kesi ya Uchochezi Lagonga Mwamba

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imetupilia mbali maombi ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) ya kufutiwa mashitaka ya uchochezi yanayomkabili na wenzake watatu. Hakimu Mkazi Mkuu, Emillius Mchauru alitoa uamuzi huo jana baada ya kukubali pingamizi lililowasilishwa na upande wa Jamhuri waliodai mashitaka hayo yasifutwe kwa kuwa hati ya mashitaka haina makosa. Mbali...

PICHA 5 ZA NDOA YA ZITTO KABWE ILIYOFANYIKA ZANZIBAR

Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe jana aliuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake aliyemvisha pete ya uchumba miezi miwili iliyopita, ndoa na tafrija zote zilifanyika Zanzibar. ...

MAGAZETI YA LEO IJUMAA JULAI 15 KWENYE HEADLINES ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO N.K

...

RAIS MAGUFULI AANZA SAFARI YA KUHAMIA DODOMA

RAIS John Magufuli ameonesha nia ya kuhamia Dodoma kwa kuanza kushughulikia masuala muhimu, ikiwamo ya kuzindua awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Dodoma na kuhamishia maadhimisho ya Siku ya Mashujaa mkoani Dodoma. Akizungumza juzi wakati wa mkutano wa kitaifa wa amani ulioandaliwa na Jumuiya ya Ahamadiyya, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana alisema katika kuonesha dhamira ya...
 

Gallery

Popular Posts

About Us