KINGAZI BLOG: 08/11/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, August 11, 2016

Mtoto wa OBAMA arekodiwa Akivuta Bangi

Mtoto mkubwa wa Rais Barack Obama – Malia Obama – anahisiwa siku kadhaa nyuma alikuwa amepewa kipisi cha bangi kuvuta na akavuta na kujikuta akirekodiwa na video za mapaparazi wa Marekani. Tukio hilo limekuja siku chache tu baada ya video nyingine kumuonesha binti huyo akikata viuno kwenye moja ya matamasha ya muziki huko Marekani. Inasadikiwa Malia alivuta sigara hiyo ‘haramu’ kwenye tamasha la...

SNURA:WANAUME WANANISUMBUA SANA.

Msanii wa muziki Snura Mushi alimaarufu kama Snura Majanga amefunguka na kusema kuwa amekuwa akipata shida sana na wanaume mbalimbali wenye matamanio kutokana na vile anavyoweza kutumia mwili wake kwenye uchezaji wake akiwa stejini. Snura alizungumza haya kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kuwa licha ya kupata usumbufu huo kwa wanaume hao lakini amekuwa akijitunza na...

KESI YA MTUHUMIWA ALIYEKUWA AKIIBIA SERIKALI MILIONI 7 KWA DAKIKA YAAHIRISHWA

Washtakiwa, Mohamed Yusufali “Choma” na Samwel Lema wakizungumza na wakili wao mara baada ya kesi hiyo kuhiishwa. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeahirisha kesi inayomkabili mfanyabiashaa Mohamed Mustapha na mwenzake wanaodaiwa kuiibia serikali shilingi milioni saba kwa kila dakika, kesi hiyo imetajwa kusikilizwa tena Agosti 18, 2016 huku watuhumiwa wakirudishwa rumande. Hakimu...

Donald Trump alaumu wanahabari kufuatia utata kuhusu bunduki

Donald Trump amewalaumu waandishi wa habari baada yake kushutumiwa kwa matamshi yake ambapo alidaiwa kuwahimiza wafuasi wake wamuue mpinzani wake Hillary Clinton wa chama cha Democratic. Alikuwa amewaambia wafuasi wake kuwa wanaweza kumzuia hasimu wake Bi Clinton kwa kutekeleza haki zao za silaha. Alisema Bi Clinton anaweza kupeleka haki zake huria za kisheria mbele ya Mahakama ya Juu kama atashinda...

Mwenyekiti wa kijiji auawa kwa, kuchinjwa kama kuku MVOMERO.

Imetokea Morogoro Wilaya ya MVOMERO kijiji cha MAFURU kitongoji cha KIDIWA mwenyekiti wa kitongoji kwa jina GODFREY MPEKA  ameuawa kikatili na watu wanao sadikika kuwa ni wajamii ya wafugaji Mpaka mchana wa Tarehe 9 Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi na Afisa usalama wa Wilaya walikuwa katika eneo la tukio wakiwatafuta wauaji hao. Mauaji hayo yametokea Mara Tu baada ya mwenyekiti kuwakamata ngombe...

MSANII DIAMOND PLATNUMZ ATOA MSAADA WA TSH. MIL 20 KWA TAASISI YA UPASUAJI/MATIBABU YA WATOTO WENYE VICHWA VIKUBWA.

Msanii wa muziki Diamond Platnumz ametoa msaada wa tsh 20 Milioni kwa ‘GSM Foundation’ kwa ajili ya kusaidia jitihada za taasisi hiyo ya kutoa huduma ya upasuaji wa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi. Timu ya Madaktari Bingwa kutoka Taasisi ya Mifupa na Upasuaji (MOI) kutoka hospitali ya Taifa ya Muhimbili ikishirikiana na GSM Foundation imekuwa ikizunguka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania...

ZITTO KABWE AMVAA TUNDU LISSU.... AIBUA MADUDU YAKE

*BY ZITTO KABWE* "Lissu anasema nimepewa magari 2 na Mzee Mkono. Anasema kaambiwa na Mkono. Naamini Mkono alimwambia pia mwaka 2005 alimpa Freeman Aikaeli Mbowe tshs 40m ili Mbowe asifanye kampeni Musoma vijijini. Nadhani alimwambia pia mwaka 2008 (baada ya orodha ya mafisadi kutangazwa 2007) Mkono alimpa Freeman tshs 20m za uchaguzi wa Tarime na Freeman akasema kwenye chama ametoa mkopo na akalipwa....

Habari kubwa kwenye Magazeti ya Leo Alhamisi ya Agosti 11 kwenye headlines za kitaifa kimataifa michezo na udaku

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us