KINGAZI BLOG: 06/02/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, June 02, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA UJENZI WA MAKTABA MPYA YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Chuo hicho Profesa Rwekaza Mukandala, Balozi wa China hapa nchini lu you Qing, maafisa wa kampuni ya Kutoka China ya Jiangsu Jiangdu wakiweka mchanga kama ishara ya kuweka jiwe la msingi katika Maktaba Mpya ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam UD...

Nikki Wa Pili Ft. ChinBees - Role Model(AUDIO)

...

QUICK ROCKA,G-NACKO & JUX - HAPO(AUDIO)

...

VIDEO: Rich Mavoko rasmi WCB, kasainishwa rasmi leo June 2 2016

June 2, 2016 label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi  msanii  wao mpya  Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa kazi zake katika label hiyo. Kwa mujibu wa Diamond Platnumz amesema…’Kwasasa Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii wanne ukiachana na Rich Mavoko kuna...

PICHA ZA WOLPER WA HARMONIZE ANAVYOJIACHIA UKWENI

Leo ni siku ya tatu kuanzia Harmonize na mpenzi wake Wolper waanze kuposti picha wakiwa  mtwara kwa wazazi wa harmonize. I am having the best time of my life.. Nikiwa na Mama angu... Kabla hamjatoka lazima mpige story, akuchekeshe... Mjipikilishe.. Akushauri  Hapa nimepata rafiki kwa kweli... I love my mama Mkwe.. Mama Raj wangu kupitia ukurasa wake wa IG  Wolper amepost picha akiwa...

WAFAHAMU MASTAA 12 AMBAO WANAONGOZA KWA KUMWAGANA NA WAPENZI WAO!

Wema Sepetu na Diamond KATI ya kundi la watu wanaoongoza kwa kumwagana katika uhusiano wa mapenzi ni mastaa, lakini kwa nyakati tofauti baadhi ya mastaa waliotengana huishia kuingia kwenye uhusiano thabiti na wapenzi wengine hadi kuoana huku zilipendwa wao wakiishia kuyumba kimapenzi au kutokuwa na mpenzi wa kudumu kiasi kwamba unaweza kuitafsiri hali iyo kwa kutumia usemi wa huku sawa, kule majanga. Wafuatao...

JK: Nchi za Afrika Haziwezi Kukwepa Misaada ya Wazungu

Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema nchi za Afrika haziwezi kukwepa misaada kutoka nchi za Ulaya kwa kuwa misaada hiyo ni jukumu lao la kihistoria. Kikwete alisema hayo jana wakati wa ufunguzi wa mkutano wa siku mbili unaojadili malengo mapya 17 ya Umoja wa Mataifa yanayohusu ‘Maendeleo Endelevu kwa mwaka 2030’. Mkutano huo umejikita kujadili lengo namba 16 linalohimiza haki, amani...

Wapinzani Wawasilisha Hoja ya Kumwondoa Madarakani Naibu Spika, Dr Tulia Ackson

Wabunge wa upinzani wamewasilisha kwa Spika wa Bunge hoja ya kumwondoa madarakani Naibu Spika, Dk Tulia Ackson kwa kutokuwa na imani naye. Hatua hiyo imefikiwa na wabunge hao kufuatia kutoridhishwa na mwenendo wa uongozi wa Dk Tulia anapokalia kiti cha Spika. Tangu Jumanne wiki hii, wabunge hao wamekuwa wakisusa vikao vinavyoongozwa na kiongozi huyo kwa madai anaminya demokrasia. Walifikia uamuzi...

Serikali Kuendelea kukosa mabilioni ya msaada toka USAID

Serikali itakosa mchango wa dawa zenye thamani ya Dola 375 milioni za Marekani (Sh787 bilioni), ambazo zimekuwa zikichangwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID). USAID ilitoa mchango huo chini ya mradi wa kutunza na kugawanya dawa hasa za kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi (ARV) kwa kipindi cha miaka 10 nchini. Mradi huo ambao pia umeisaidia Serikali kujenga maghala ya kuhifadhia...

Haya hapa Magazeti ya Leo Alhamisi ya June 2 kwenye habari za kitaifa kimataifa,na michezo

...

Wabunge 7 wa Upinzani Waliosimamishwa Kuhudhuria Bungeni Waongezewa Adhabu nyingine

Wabunge saba wa upinzani waliosimamishwa bungeni, watakumbana na kibano kingine cha kukatwa mshahara na posho kwa kipindi chote cha kutumikia adhabu. Wabunge hao ambao Jumatatu walisimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge kwa muda tofauti kwa madai ya kukiuka kanuni ni Zitto Kabwe (Kigoma Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Halima Mdee (Kawe), Ester Bulaya (Bunda Mjini), John Heche (Tarime Vijijini)...

Serikali Yazidiwa Mzigo wa Vijana Wanaotakiwa Kujiunga JKT ......Waziri Asema ni Vigumu Kuwachukua Vijana Wote Kutokana na Uhaba wa Fedha

VIJANA wenye sifa za kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kwa mujibu wa sheria wamekuwa wengi kiasi cha kuifanya Serikali kushindwa kuwachukua wote, Bunge limeelezwa. Hivyo, kutokana na sababu hiyo, Serikali imeamua kuongeza idadi ya kambi za mafunzo ili wachukuliwe wote. Hayo yalisemwa bungeni jana mjini hapa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi wakati...
 

Gallery

Popular Posts

About Us