Rais John Pombe Magufuli aliwateua wakuu wapya wa mikoa Tanzania bara March 13 2016 ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo...
Tuesday, March 15, 2016
VIDEO: Rais Magufuli alivaa sura ya kazi kuwaapisha wakuu wa mikoa ila hiki kilichekesha wengi akiwemo yeye
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Chama chaondoa kaptura kwenye sare India
Published Under
KIMATAIFA
Sare rasmi ya chama hicho sasa itajumuisha suruali ndefu
Chama cha mrengo wa
kulia cha Wahindi cha Rashtriya Swayamsevak Sangh (RSS) kimetangaza
kwamba kitaondoa kaptura za rangi ya kaki kwenye sare ya...
SHARE!
Oparesheni dhidi ya ugaidi yawageukia polisi Ubelgiji
Published Under
KIMATAIFA
Oparesheni dhidi ya Ugaidi nchini Ubelgiji
Vikosi vya maafisa
wa usalama nchini Ubelgiji vinawasaka watu wawili baada ya maafisa wa
polisi kufyatuliwa risasi katika oparesheni dhidi ya ugaidi katika mji
mkuu wa Br...
SHARE!
Wapiganaji wadhibiti mji wa Somalia
Published Under
KIMATAIFA
Maharamia katika pwani ya Somalia
Kundi moja la wapiganaji lililokuwa katika mashua limewasili katika pwani ya jimbo la Somalia Puntland na kuudhibiti mji hu...
SHARE!
Walimu Wanaotuhumiwa Kufanya Mapenzi na Wanafunzi Jijini Mwanza Waundiwa Kamati Maalum
Published Under
KITAIFA

Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Mkoa wa Mwanza kimeunda kamati
kuchunguza tuhuma dhidi ya baadhi ya walimu wa Shule ya Sekondari Mihama
wilayani Ilemala kujamiiana na wanafunzi wao....
SHARE!
Tetesi za Staa Wema Sepetu kuwa na mpenzi mpya Mcongo, yeye mwenyewe kaongea haya….
Published Under
STORI KALI
Tangu
mwaka 2016 uanze miongoni mwa story zilizochukua headlines kwenye
mitandao mbalimbali ni hii inayomuhusu mwigizaji staa wa Tanzani...
SHARE!
Alichokisema Diamond Platnumz kuhusu utambulisho wa msanii mpya kutoka WCB hiki hapa.
Published Under
T STORI KALI
Baada ya label ya WCB kumsaini mkali wa
hit single ya Bado ‘Harmonize’ na kuendelea kufanya vizuri kwenye soko
la muziki wa Tanzani...
SHARE!
Tinashe ‘Bullet’ ..(+Audio)
Published Under
AUDIO
Nyingine mpya kutoka kwa Tinashe ‘Bullet’ imenifikia iko hapa..(+Audio)
By
Edwin TZA
on
March 15, 2016
75 shares
Share
Tweet
Share
Share
comments
New song kutoka kwa Tinashe bonyeza hapa kuiskiliza onlin...
SHARE!
Serikali ya Magufuli inazingatia uadilifu, uaminifu na uwajibikaji
Published Under
MAKALA
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
HAKUNA shaka kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imevutia wengi katika
muda wa takribani miezi minne ambayo imekuwa madarakani. Watanzania
wengi wamekuwa na imani kubwa na Serikali ...
SHARE!
Ofisa Mifugo chupu chupu atumbuliwe jipu Misenyi
Published Under
KITAIFA
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
OFISA Mifugo wa Kata ya Kakunyu wilayani Misenyi mkoani Kagera, Eric
Kagoro amenusurika kutumbuliwa jipu kwenye mkutano wa hadhara baada ya
kuhusishwa na sakata la kuruhusu ng’ombe 291 kulisha kwenye Ranchi ya
Mifugo ya Misen...
SHARE!
Magufuli apongezwa sana kwa uteuzi wa Ma-RC
Published Under
KITAIFA
Rais Dk John Magufuli.
UTEUZI wa wakuu wa mikoa uliofanywa na Rais John Magufuli juzi,
umeonekana kuwaridhisha wengi kutokana na watu wa kada tofauti kupongeza
wakisema umezingatia weledi, elimu, rika na historia ya uchapakazi ya
wahusika.
...
SHARE!
Stori kubwa katika uchambuzi wa magazeti ya leo tarehe 15 march 2016.
Published Under
MAGAZETINI LEO

Stori kubwa katika uchambuzi wa magazeti ya leo tarehe 15 march 2016.nakukaribisha sasa upitie vichwa vya vya habari kwenye magazeti ya leo.pia usisahau kulike page yetu katika mitandao ya kijamii yaani facebook/tanzaniampya news blog, na twitter@TZmpyasasa.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)