Mwanamuziki Rihanna.
NEW YORK, Marekani
MWANAMUZIKI Rihanna, amekasirishwa na kitendo cha ‘ex’ wake, Chris Brown kumfananisha na wanawake wengine aliowahi kutoka nao kimapenzi.
Hivi karibuni Chris alipost kwenye Instagram picha aliyoiunganisha
ikimuonyesha akiwa na...
Monday, March 21, 2016
Majaliwa aeleza kisa mwanajeshi kuongoza Kagera
Published Under
KITAIFA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoboa siri ya kuteuliwa mwanajeshi
kuongoza Mkoa wa Kagera, moja ya mikoa iliyoko pembezoni na yenye tishio
kubwa la wahamiaji haramu na matatizo ya ardhi.
Hivi karibuni, Rais John Magufuli alifanya uteuzi...
SHARE!
JK ashiriki mkutano wa uandishi Katiba ya Libya
Published Under
KITAIFA
Rais
mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Afrika
AU) katika utatuzi wa mgogoro wa Libya akizungumza katika Mkutano wa
Kamati ya Uandishi ya Baraza Maalumu la Uandishi wa Katiba ya Libya,
unaoendelea mjini Salalah, Oman, jana. Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje
...
SHARE!
USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017
Published Under
MAKALA MUHIMU
Habari zenu,
Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo
hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato
cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo
mbalimbali mwaka wa masomo 2016/201...
SHARE!
BREAKING NEWS;CCM YASHINDA TENA UCHAGUZI ZANZIBAR.
Published Under
ZANZIBAR
Tume ya taifa ya uchaguzi zanzibar kupitia mwenyekiti wake Jecha Salim Jecha, imetangaza matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika tar 20 march,huku mgombea wa urais kupitia chama cha...
SHARE!
BREAKING NEWS; Matokeo ya UCHAGUZI yaanza kutangazwa ZANZIBAR
Published Under
ZANZIBAR
Zoezi
la kujumuisha kura katoka vituo mbalimbali katika wilaya ya CHAKECHAKE
kisiwani PEMBA, limeendelea kwa usiku mzima huku matokeo ya viti vya
uwakilishi pamoja na UDIWAN...
SHARE!
ZOEZI LA UHAKIKI WA WAFANYAKAZI HEWA LAANZWA KUTEKELEZWA
Published Under
KITAIFA
Siku chache baada ya wakuu wa mikoa kuapishwa na Rais John Magufuli,
imeelezwa kuwa wakuu hao wametoa agizo la kuhakiki taarifa za watumishi
wa umma kwenye mikoa yao.
Agizo hilo la Rais linalenga kubaini
watumishi hewa katika mikoa na wilaya nchini. Kazi hiyo imeanza
kutekelezwa kwenye baadhi ya hospitali za Serikali nchini.
Taarifa
zilizoptaikana jana, zimeleza kuwa Hospitali...
SHARE!
WATATU WAKUTWA WAMENYONGWA NA KUCHOMWA MOTO- KYELA
Published Under
MATUKIO

Watu
watatu wamefariki dunia kwa kunyongwa na miili yao kuchomwa moto ndani
ya nyumba ya wageni iliyopo Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya.
Mauaji hayo yamegubikwa na utata kutokana na mazingira ya tukio hilo kuwahusisha wapangaji wa nyumba hiyo usiku wa kuamkia jana.
Mmiliki
wa nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Kyela Kati, Boniface Mtengela alisema
waliouawa ni watatu kati ya watu wanne waliofika...
SHARE!
Mzindakaya ataka timu kubuni miradi
Published Under
KITAIFA
Mbunge wa zamani wa Kwela, Chrisant Majiya Tanga Mzindakaya.
MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya, ameushauri uongozi
wa mkoa wa Rukwa kuunda timu ya wataalamu kupendekeza miradi ya
maendeleo inayofaa kutekelezwa mkoani humo.
Alipendekeza timu hiyo ijumuishe wataalamu kutoka katika taasisi za
fedha nchini na wizarani ambao watatafsiri...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 21 2016 kwenye, Udaku, kitaifa,kimataifa na michezo
Published Under
MAGAZETINI LEO
March 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya habari
zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,
Michezo na kitaifa na kimataifa ili ujue kinachoendelea. usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog na twitter/TZmpyasasa,...
SHARE!
Mwandishi wa DW aliyetoweka apatikana
Published Under
ZANZIBAR
Salma alikamatwa na watu wasiojulikana Ijumaa
Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma Said...
SHARE!
Fuatilia sehemu ya 3 ya hadithi ya mapenzi inayoitwa -TARATIBU MPENZI
Published Under
LOVE STORY
TARATIBU MPENZI-Sehemu ya 3
Mtunzi;Geofrey Malwa
Mawasiliano;0712507115
Kumbe alikuwa ni Nelson,alimbananisha mlinzi kwenye ile
kona huku akimkunja shati na kumkandamiza kwenye shingo yake maeneo ya
koromeo na kumtolea macho kwa ukali,,
,,,pochi yangu iko wapi?...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)