KINGAZI BLOG: 03/21/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, March 21, 2016

Rihanna akasirika kufananishwa na Karrueche

Mwanamuziki Rihanna. NEW YORK, Marekani MWANAMUZIKI Rihanna, amekasirishwa na kitendo cha ‘ex’ wake, Chris Brown kumfananisha na wanawake wengine aliowahi kutoka nao kimapenzi. Hivi karibuni Chris alipost kwenye Instagram picha aliyoiunganisha ikimuonyesha akiwa na...

Majaliwa aeleza kisa mwanajeshi kuongoza Kagera

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametoboa siri ya kuteuliwa mwanajeshi kuongoza Mkoa wa Kagera, moja ya mikoa iliyoko pembezoni na yenye tishio kubwa la wahamiaji haramu na matatizo ya ardhi. Hivi karibuni, Rais John Magufuli alifanya uteuzi...

JK ashiriki mkutano wa uandishi Katiba ya Libya

Rais mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Afrika AU) katika utatuzi wa mgogoro wa Libya akizungumza katika Mkutano wa Kamati ya Uandishi ya Baraza Maalumu la Uandishi wa Katiba ya Libya, unaoendelea mjini Salalah, Oman, jana. Wengine ni Waziri wa Mambo ya Nje ...

USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017

Habari zenu, Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2016/201...

Akothee ft Flavour - Give It To Me [Official Video]

...

SAY SHAY - EVERLASTING LOVE (AUDIO)

...

Witnesz ft Ochu shaggy - Sharifa (Official Video )

...

WITNESS FT OCHU SHEGGY - SHARIFA(AUDIO)

...

JOSE CHAMELEONE FT BOB JUNIOR - BAKI NAE(AUDIO)

BOFYA HAPA CHINI...

IZOO BIZNESS FT SHAA,BANANA & HANCE PUFF - USIJIOVADOZE(AUDIO)

...

AMINI - HAWAJUI(AUDIO)

...

BREAKING NEWS;CCM YASHINDA TENA UCHAGUZI ZANZIBAR.

Tume ya taifa ya uchaguzi zanzibar kupitia mwenyekiti wake Jecha Salim Jecha, imetangaza matokeo  ya uchaguzi mkuu uliofanyika tar 20 march,huku mgombea wa urais kupitia chama cha...

BREAKING NEWS; Matokeo ya UCHAGUZI yaanza kutangazwa ZANZIBAR

Zoezi la kujumuisha kura katoka vituo mbalimbali katika wilaya ya CHAKECHAKE kisiwani PEMBA, limeendelea kwa usiku mzima huku matokeo ya viti vya uwakilishi pamoja na UDIWAN...

ZOEZI LA UHAKIKI WA WAFANYAKAZI HEWA LAANZWA KUTEKELEZWA

Siku chache baada ya wakuu wa mikoa kuapishwa na Rais John Magufuli, imeelezwa kuwa wakuu hao wametoa agizo la kuhakiki taarifa za watumishi wa umma kwenye mikoa yao. Agizo hilo la Rais linalenga kubaini watumishi hewa katika mikoa na wilaya nchini. Kazi hiyo imeanza kutekelezwa kwenye baadhi ya hospitali za Serikali nchini. Taarifa zilizoptaikana jana, zimeleza kuwa Hospitali...

WATATU WAKUTWA WAMENYONGWA NA KUCHOMWA MOTO- KYELA

Watu watatu wamefariki dunia kwa kunyongwa na miili yao kuchomwa moto ndani ya nyumba ya wageni iliyopo Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya. Mauaji hayo yamegubikwa na utata kutokana na mazingira ya tukio hilo kuwahusisha wapangaji wa nyumba hiyo usiku wa kuamkia jana. Mmiliki wa nyumba hiyo iliyopo Mtaa wa Kyela Kati, Boniface Mtengela alisema waliouawa ni watatu kati ya watu wanne waliofika...

Mzindakaya ataka timu kubuni miradi

Mbunge wa zamani wa Kwela, Chrisant Majiya Tanga Mzindakaya. MWANASIASA mkongwe nchini, Dk Chrisant Mzindakaya, ameushauri uongozi wa mkoa wa Rukwa kuunda timu ya wataalamu kupendekeza miradi ya maendeleo inayofaa kutekelezwa mkoani humo. Alipendekeza timu hiyo ijumuishe wataalamu kutoka katika taasisi za fedha nchini na wizarani ambao watatafsiri...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 21 2016 kwenye, Udaku, kitaifa,kimataifa na michezo

March 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na kitaifa na kimataifa ili ujue kinachoendelea. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog na twitter/TZmpyasasa,...

Mwandishi wa DW aliyetoweka apatikana

                                 Salma alikamatwa na watu wasiojulikana Ijumaa Mwandishi aliyewakilisha kituo cha redio cha Sauti ya Ujerumani (Deutsche Welle) visiwani Zanzibar Salma Said...

Fuatilia sehemu ya 3 ya hadithi ya mapenzi inayoitwa -TARATIBU MPENZI

TARATIBU MPENZI-Sehemu ya 3 Mtunzi;Geofrey Malwa Mawasiliano;0712507115 Kumbe alikuwa ni Nelson,alimbananisha mlinzi kwenye ile kona huku akimkunja shati na kumkandamiza kwenye shingo yake maeneo ya koromeo na kumtolea macho kwa ukali,, ,,,pochi yangu iko wapi?...
 

Gallery

Popular Posts

About Us