KINGAZI BLOG: 08/24/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, August 24, 2016

Jeshi La Polisi Lahusisha Mauaji ya Polisi Wanne na Sakata la Oparesheni UKUTA.........Lapiga Marufuku Mikutano yote ya Ndani ya Vyama vya Siasa

KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na kuwaua askari hao kwa kutumia silaha za moto jeshi la Polisi limetangaza kiama na kuwataka wahusika wote kujisalimisha. Katika hatua nyingine jeshi la polisi limehusisha tukio hilo na Umoja wa Kupinga Udikteta Tanzania (UKUTA) kufuatia matamko ya baadhi ya viongozi wa kisiasa...

Kingunge Awataka Mkapa na Mwinyi Wamshauri JPM Azungumze na Chadema

ALIYEKUWA kada wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru  amewaomba  marais wastaafu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa kuzungumza na Rais John Magufuli ili aitishe kikao kati ya Serikali na Chadema kwa ajili ya kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika Septemba Mosi. Kingunge  ametoa kauli hii  leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari  wakati...

MAAJABUUU!! !!WANAUME WAZAA MAPACHA WATATU KWA KUPANDIKIZA

WANAUME wawili wanaoishi kama mume na mke (mashoga) nchini Afrika Kusini wanasemekana kuwa watu wa kwanza katika ukanda huo na huenda duniani kwa kuwa wazazi wa mapacha watatu, wawili wakiwa wanafanana, kwa kupitia mtu mwingine aliyebeba mimba. Wazazi hao ambao walikuwa majirani na mwanamichezo za zamani mlemavu, Oscar Pistorius, walikutana na mtu waliyempatia mbegu zao wakati wa mashitaka ya mauaji...

DIAMOND PLATINUMS NA ALI KIBA USO KWA USO,SASA WASHINDANISWA TUZO HII 2016

Diamond Platnumz na Alikiba watachuana mwaka huu kuwania kipengele cha Best Male Eastern Africa kwenye tuzo za All Africa Music [Awards] 2016 za nchini Nigeria. Waandaji wa tuzo hizo wametoa orodha ya kwanza ya wasanii wanaowania mwaka huu. Diamond na Kiba wana upinzani pia kutoka kwa Bebe Cool, Eddy Kenzo, Jose Chameleone na Navio wa Uganda. Hata hivyo hakuna msanii wa Tanzania aliyetajwa kwenye...

Hatutamvumilia atakaye vuruga amani - Majaliwa

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inalinda amani ya nchi kwa gharama zozote na kamwe haitoruhusu mwanasiasa yeyote kusababisha vurugu zitakazochochea uvunjifu wa amani. “Hatuzuii kuwa na vyama vya siasa ila haturuhusu vurugu kupitia vyama vya siasa na hakuna jambo lisilokuwa na mipaka. Mambo ya kuhamasishana kufanya vurugu hatutayaruhusu, tunataka watu wafanye...

UDOM kuongeza wataalam wa shahada ya mafuta na gesi

Chuo Kikuu cha UDOM kimeandaa mtaala wa elimu kwa ajili ya shahada ya uzalimili katika sekta ya mafuta na gesi ili kutoa watalaam wengi zaidi wa masuala ya athari za kimazingira zinazoweza kusababishwa na uchimbaji wa rasimali hiyo. Kaimu Makamu mkuu wa chuo hicho Dkt. Peter Msofe amesema hayo mjini Dodoma katika uifunguzi wa mkutano wa wadau wa elimu kutoka nchi za Uganda na Tanzania wanaoandaa...

Airlander 10: Ndege ndefu zaidi duniani yapata ajali

 Ndege ndefu zaidi duniani - Airlander 10 - imeharibika baada ya kuanguka ikitua kwenye safari yake ya pili ya kufanyiwa majaribio. Ndege hiyo ya urefu wa 302ft (92m) - ambayo kwa kiasi fulani ni ndege na pia kwa kiasi fulani puto - iliharibika ikiwa katika uwanja wa Cardington, Bedfordshire nchini Uingereza. Ndege hiyo ya thamani ya £25m imeharibika eneo wanamoketi marubani baada ya kuangika...
 

Gallery

Popular Posts

About Us