KINGAZI BLOG: 07/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 16, 2016

PICHA HII YA ZARI AKIWA NA MAMA YAKE YAZUA ZOGO KUBWA MITANDAONI,MAMA DIAMOND AHUSISHWA

Zari Hassani au Zari the Boss Lady amezidi kumake headline leo hii ambapo kupitia picha aliyoweka ya kumtakia heri mapya yameibuka. Pamoja na watu kumpongeza katika picha hiyo ,lakiwatu mbali mabli waliokomenti katika picha hiyo walibainisha wazi kumtaka Zari kuachana na maisha ya Bongo,hukuw engine wakidai kuwa Heri ya Mama huyo kuliko mkwe wake ambaye ni mama Diamond .wengine pia walidai kushangazwa...

Fundi adondoka toka ghorofa ya sita mtaa wa Pemba jijini Dar es Salaam

Mfanyakazi ya ujenzi kwenye nyumba inayojengwa mtaa wa Pemba eneo la Kariakoo jijini Dar es salaam mchana wa leo amekimbizwa hospitali baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya sita ya jengo hilo. Haijajulikana bado sababu za kudondoka kwake nasi tunamwombea apate nafuu harak...

MUONEKANO MPYA WA MWANADADA KAJALA MASANJA

...

Picha:Baadhi ya mitindo ya mavazi ya zamani

Baadhi ya vijana wamejarbu kuonesha baadhi ya mitindo ya avazi ya zamani atia picha hii ...

+18 WAKUBWAAA!!!GIGY MONEY NI BALAAA!!!HEBU ONA HAYA MAPOZI HAYA HATARI

Gigy Money share her rude photos throw social medias ...

BAADA YA BASATA KUUFUNGIA WIMBO WA NEY WA MITEGO,DIVA WA CLOUDS FM ATOKWA NA 'POVU' HILI..!!!

Katika kile kinachoonekana kuchukizwa na maamuzi ya BASATA ya kuufungia wimbo mpya wa Ney wa Mitego,Diva wa kipindi cha Ala za Roho kinachoruka hewani na kituo cha Clouds Fm,Loveness Love ameibuka na kunena mazito juu ya BASATA. BASATA ambao wanahusika na kusimamaia kazi za sanaa nchini wameufungia wimbo wa mpya wa Ney wa Mitego kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kukiuka maadili ya kitanzania. Kupitia...

Wanafunzi elimu ya juu watoa saa 72 kwa bodi ya mikopo

Kamati ya mawaziri wa mikopo ya serikali za wanafunzi wa Elimu ya juu nchini Tanzania inayoundwa na mawaziri, Manaibu waziri na makatibu wa wizara ya mikopo kutoka vyuo vyote nchini leo July 16 2016 wamkutana na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.   Akizungumza kwa niaba ya kamati hiyo, Mwenyekiti wa kamati Taifa, Shitindi Venance amesema kipindi cha mwisho wa mwezi...

SAKATA LA DK MWAKA KUFUNGIWA WAZIRI WA AFYA ATOA KAULI HII 

SEREKALI imemtaka Dk Mwaka kwenda kwenye sheria kama hajaridhika na uamuzi wa serikali wa kukifungia kituo chake cha tiba za asili. Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa afya maendeleo ya jamii jinsia,wazee na watoto Ummy Mwalimu wakati akiongea na wadau wa afya katika hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera.Ummy alisema kuwa uamuzi uliofanywa na serekali wa kukifunga kituo cha afya cha dk Mwaka ni...

TCU YATANGAZA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA ELIMU YA JUU/CHUO KIKUU MWAKA 2016/17 SOMA HAPA

BAADA YA KUTOKA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA JANA TAREHE 15,BODI YA VYO VIKUU IMETANGAZA VIGEZO VYA KUJIUNGA NA ELIMU YA CHUO KIKUU KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 KUJUA ZAIDI BOFYA HAPA CHINI  click here=== >>>>>Clarification on the minimum admission entry qualifications for undergraduate students<<<<< CLICK HERE>>>>>Change of procedures,...

Ukiiangalia hii video unaweza kuacha kwenda kwenye makanisa ya "kiroho"...

Kinachonisikitisha zaidi sio utapeli wa huyu nabii, bali ni kuwa hadi sasa kuna watu wanaenda kwenye kanisa lake...Kweli binadamu tu wajinga!!! L...

Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 16, Ikiwemo Habar Shule ya Kata Yafanya Kweli Matokeo Kidato cha Sita

SOMA Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 16, Ikiwemo Shule ya Kata Yafanya Kweli Matokeo Kidato cha Si...

Wanajeshi 104 Waliotaka Kumpindua Raisi wa Uturuki Wauwa Katika Jaribio la Mapinduzi

Naibu mkuu wa jeshi la Uturuki ametangaza kwa njia ya runinga kuwa jaribio la mapinduzi ya kijeshi limeshindwa. Jenerali Umit Dundar alisema kuwa wapanga mapinduzi 104 wameuauwa. Pia amesema kuwa watu wengine 90 wakiwemo polisi na raia wameuawa. Usiku kucha miji ya Ankara na Istanbul ilikumbwa na milio ya risasi na milipuko baada ya wanajeshi waasi kufanya mashambulizi wakitumia vifaru na helikopta. Maafisa...

Mhe. Rais, Hivi Ndiyo Julius Nyerere International Airport Inavyowatesa Wageni na Kuwakimbiza

Mheshimiwa Rais, labda hili litakuwa gumu kidogo kwa wewe kuligundua maana viongozi wote wanapopita pale uwanjani huwa hawatumii njia na process hii ambayo sisi watu wa kawaida na wageni wanaotoka nje huwa wanaitumia katika kupata viza (tourist visa) ya kuingia nchini. Pale kuna uozo mkubwa sana na si hilo tu basi upoteaji mkubwa wa fedha za serikali ambazo nadhani huwa zinaingia mifukoni mwa baadhi...

GIGY MONEY ASEMA BILA PESA HATOI PENZI,AELEZA HAYA

Stori: Boniphace Ngumije Muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kutokana na wanaume wengi wakware kupenda kuwatumia mastaa kisha kuwaumiza, anawatangazia kuwa hana mapenzi ya dhati, mwenye fedha ndiye atakayemfaidi. Akipiga stori na gazeti hili, mwanadada huyo aliongeza kuwa amejionea na kujifunza hilo kutoka kwa mastaa wenzake. “Mimi mwanaume akinihitaji...

Basata Waufungia Wimbo wa "Pale Kati Patamu" was Ney wa Mitego

KUFUNGIWA NA KUPIGWA MARUFUKU KWA WIMBO WA ‘PALE KATI PATAMU’ WA MSANII EMMANUEL ELIBARIKI ‘AKA’ NEY WA MITEGO  Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limeufungia rasmi wimbo wa ‘pale kati patamu’ ulioimbwa na Msanii Ney wa Mitengo kutokana na ukiukwaji mkubwa wa maadili. Msanii huyu amekuwa na tabia na mienendo yenye kuchafua Sekta ya Sanaa yeye binafsi kupitia kutoa kazi chafu na kufanya maonesho...

RAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE AMPA KAZI MREMA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Augustino Lyatonga Mrema. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania.Katika uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua Mwenyekiti wa Chama cha TLP...

UFAFANUZI KUHUSU SIFA/MAKSI KULINGANA NA MATOKEO YAKO YA FOMR 6 ZA KUINGIA CHUO KIKUU 2016/2017

Habari yako,Kama ambavyo ahadi yetu kukufanya wewe mdau wetu upate kitu roho inapenda.Jana matokeo ya kidato cha sita yalitangazwa.Hongereni sana kwa mliofaulu na mliofeli msikate tamaa,jaribuni kutafuta altenative mapema kabla mda haujakupita.MASWAYETU BLOG imepokea maswali mengi sana,kutoka kwa wadau wa blog hii hasa form 6 wanaotarajia kwenda chuo kikuu.swali lililoulizwa sana:JE DIV III WANAENDA CHUO KIKUU?JIBU: siku zote kuchguliwa chuo kikuu hawaangalii divison ya mtu,ila wanaangalia minimum entry qualifcation za kuingia chuo.Minimum entry qualifiction hapo nyuma ilikuwa ni lazima upate E mbili kwenye combination...

HAYA HAPA MATOKEO YOTE YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2016

THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA Baraza  za mitihani la tanzania jana limetangaza matokeo ya kidato cha Sita pamoja na Vyuo vya ualimu kwa mwaka 2016, na kama kawaida yetu KINGAZI BLOG hatuko nyuma kukuletea list nzima ya majina ya matokeo yoooote!!  hebu bofya hapo chini.  >>>BOFYA HAPA KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA...
 

Gallery

Popular Posts

About Us