
Zari Hassani au Zari the Boss Lady amezidi kumake headline leo hii ambapo kupitia picha aliyoweka ya kumtakia heri mapya yameibuka.
Pamoja na watu kumpongeza katika picha hiyo ,lakiwatu mbali mabli waliokomenti katika picha hiyo walibainisha wazi kumtaka Zari kuachana na maisha ya Bongo,hukuw engine wakidai kuwa Heri ya Mama huyo kuliko mkwe wake ambaye ni mama Diamond .wengine pia walidai kushangazwa...