WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewataka
maofisa madini wa kanda, mikoa na wilaya wanaomiliki vitalu vya madini
au migodi, waache kazi serikalini.
Mbali na agizo hilo, pia amesema wizara yake haikatazi mafunzo nje ya
nchi yakiwa ya muhimu,
Mkuu
wa Jeshi la Kujenga Taifa, anawatangazia vijana wenye sifa za kujiunga
na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2016. Barua
zilizoainisha sifa za kijana kujiunga na mafunzo ya JKT
Kuna
list kubwa ya watanzania ambao wapo nje ya nchi kwa ajili ya elimu ya
juu pia nina watu wangu wa nguvu ambao wana ndoto hizo. April 8 2016,
Forbes kupitia mtandao wao wametoa top 20 ya vyuo vipya bora duniani.
April 10 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog, pia kwenye twitter
@tanzaniampysasa..