KINGAZI BLOG: 07/02/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, July 02, 2016

Huyu hapa Aliyekuwa Akiibia Serikali Milioni 7 Kwa Kila Dakika

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) wamebaini kuwepo na baadhi ya Makampuni na watu binafsi ambao wamekuwa wakijihusisha na ukwepaji Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na Kodi ya Mapato kwa kutumia Mashine za Kielektroniki (EFDs) ambazo hazijasajiliwa na TRA na kutoa risiti bandia. Makampuni hayo yamekuwa yakinunua risiti za...

JACKLINE WOLPER ALIJIA GAZETI LILILOMWANDIKA KUBAKWA NA MSANII WA DIAMOND

Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Sani la leo jumamosi limemsononesha mrembo Jack Wolper kwa tuhuma za uongo kuwa amebakwa na Msanii wa Diamond...Mwenye Kayaandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram: @wolperstylish - I am so sad kwakweli Hii sio kuniabisha mimi tu, ni kuaibisha na wanawake wenzangu, sijui kwanini magazeti ya kibongo yanatumia Nguvu nyingi kushusha hadhi ya wasanii wa kike...

Nancy Sumari na Luca Neghesti Wafunga Ndoa yao Jana Julai 1

YAMETIMIA! Hivyo ndivyo tunaweza kusema kwa sasa baada kushi kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka mingi, hatimaye Mwenyekiti Mtendaji wa Bongo5 Media Group Limited, Luca Neghesti na Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni Miss World Africa, Nancy Sumari kufunga ndoa jana Ijumaa. Wawili hao wamefunga ndoa jana jijini Arusha na kuhudhuriwa na watu takriban 60 ambao wengi wao ni ndugu na marafiki zao...

STAA NICKI MINAJ ATUPIA PICHA HIZI ZA UTATA MTANDAONI.

  "&g...

Magazeti ya, Tanzania yalichoandika leo Julai 2 kwenye habari za kitaifa, kimataifa Michezo na, stori nyingine kali.

Karibu, tunakuletea uchambuzi wa Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 2 kwenye habari za kitaifa komataifa na michezo ...

Majengo Ya Mahakama ya Mafisadi Kukabidhiwa Jumatatu

WAKATI Mahakama Maalumu ya Ufisadi na Uhujumu Uchumi ikitarajiwa kuanza wakati wowote, majengo ya mahakama hiyo yanatarajiwa kukabidhiwa keshokutwa jumatatu. Jaji Mkuu, Mohamed Othman Chande, alisema jana kuwa mkandarasi aliyekabidhiwa kazi ya kukarabati majengo hayo yaliyopo katika Shule Kuu ya Sheria, pembeni mwa kituo cha mabasi cha Simu 2000, Ubungo Dar es Salaam, yako katika hatua za mwisho...

Askofu Gwajima ni Mgonjwa.....Ashindwa Kutokea Mahakamani Kwenye Kesi Inayomkabili

PETER Kibatala wakili wa Josephati Gwajima Askofu wa Kanisa la ufufuo na uzima jana aliiomba mahakama kuahirisha tarehe ya kusikiliza kesi inayomkabili askofu huyo sababu anaumwa.   Kibatala alidai mahakamani Kisutu kuwa kutotokea kwa mteja wakejana kulitokana na yeye kuwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Wakili huyo  aliwasilisha madai hayo jana katika Mahakaama...
 

Gallery

Popular Posts

About Us