KINGAZI BLOG: 04/28/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, April 28, 2016

Hatimaye Mwili wa Nguli wa Muziki Papa Wemba Wawasili Kinshasa Congo.

Mamia ya watu wamekongamana nje ya uwanja wa ndege wa Kinshasa kuupokea mwili wa mwanamuziki Papa Wemba uliowasili nchini humo kutoka Abidjan Mwanamuziki huyo ambaye ametajwa kuwa mmoja ya waanzilishi wa muziki wa kizazi kipya cha Soukous anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne baada ya mwili huo kuwekwa katika uwanja wa mpira kwa raia kutoa heshima zao za mwisho. Maafisa...

Wabunge Wasiochangia hoja bungeni watakiwa kutochukua Posho za Vikao.

Kiti cha Spika wa Bunge kimesema ipo haja ya kufanya marekebisho ya Sheria pamoja na Kanuni ili kila mbunge apate posho kulingana na kazi aliyofanya bungeni, badala ya utaratibu wa sasa wa kuangalia mahudhurio pekee. Aidha, kimewataka wabunge kubadilika na kuacha tabia ya kuchukua posho za vikao vya Bunge bila kuzitolea jasho. Kauli hiyo imekuja kutokana na Mwongozo ulioombwa Aprili...

Hizi hapa Nafasi za Kazi zilizotangazwa Kutoka Makampuni Mbali Mbali Leo 28 April 2016

Bonyeza Kusoma na Kuapply: Job Opportunities The Aga Khan Hospital Dar es Salaam, Application Deadline: 04 May 2016 Job Opportunity at Gesellschaft fur Internationale Zusammenarbeit(GIZ), Application Deadline 07 May 2016 Job Opportunity at Standard Bank Group, Application Deadline 22 May 2016 Job Opportunities At Geita Gold Mine, Application Deadline 5th May 2016 ingia hapa kujua zaidi:w...

SNURA Afunguka Kuhusu Video ya Chura Kupigwa Katika Vituo vya TV...Adai Anaeona Haina Maadili Asiangalie

Mwimbaji Snura wa Majanga amefunguka haya kuhusu maadili ya Video yake mpya ya Chura na kuhusu kama itapelekwa kwenye vituo vya Television: “Kiukweli video ya Chura nimeifanya maalum kwa ajili ya youtube na wala sina mpango wa kuipeleka kwenye Tv yoyote Tanzania, licha ya kuwa nimetumiwa taarifa kuwa Kenya imeshaanza kuchezwa, kwa wanaosema haina maadili mimi sijaitengeneza...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 28 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 27 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao...
 

Gallery

Popular Posts

About Us