KINGAZI BLOG: 08/07/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, August 07, 2016

Waziri Atangaza kiama Kwa Trafiki wala rushwa

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yussuf Masauni amesema askari wa usalama barabarani watakaobainika kupokea rushwa watashughulikiwa kwa kuwa wataweka mitego kwa ajili ya kuwakamata. Alisema wananchi wamekuwa wakilalamikia askari hao kuwa wanapenda rushwa na ndio chanzo cha ajali barabarani na kwamba wanachafua taswira ya jeshi hilo. Akizungumza na askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani,...

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI YA TAR 7 AUGUST 2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA BILA KUSAHAU MICHEZO

  ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us