
Mkuu wa Mkoa wa Arusha aliyeondolewa, Felix Ntibenda amekabidhi ofisi huku akitoa neno la mwisho la kuwakaribisha Kigoma baadhi ya maofisa waliokuwapo kwenye hafla hiyo.
“Karibuni sana Kigoma,” ndiyo lilikuwa neno la mwisho kwa Ntibenda alilolitoa baada ya kukabidhi ofisi kwa Mkuu wa Mkoa mpya Mrisho Gambo, hafla iliyofanyika kwa muda mfupi.
Ntibenda aliyehamishiwa ofisi ya Waziri Mkuu, baada...