KINGAZI BLOG: 05/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, May 16, 2016

USAFIRI WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM WAGUBIKWA NA CHANGAMOTO LUKUKI

Baadhi ya watu wanaotaka kusafiri na mabasi ya yaendayo haraka wakiwa katika kituo cha Posta ya Zamani (Baharini) wakipewa maelekezo kuwa katika kituo hicho mashine za kutolea tiketi zimeleta hitilafu kwa leo.  Basi la mwendo wa haraka likitoka katika kituo cha Posta ya zamani bila kupakia abiria kutokana na kutokuwepo kwa tiketi kwa sababu ya mashine za kituo hicho kuleta hitilafu ya mtandao...

HARMONIZE ATHIBITISHA UHUSIANO WAKE NA JACKLINE WOLPER,AANDIKA UJUMBE MZITO

Harmonize confirms that he is Dating Jackline wolper,its official now that Harmonize is dating Bongo Movie Actress Jackline wolper, and Harmonize have prove that after posting the image of Jackline wolper into his Instagram Account okay, let us pray for them and see where they e...

Bunge Liliahirishwa Leo Asubuhi Kupisha Kamati ya Kanuni ipitie Hotuba ya Upinzani Iliyozuiliwa

Hotuba ya Godbless Lema, Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ilizuiliwa leo asubuhi  kusomwa Bungeni hadi ipitiwe  upya na kamati ya kanuni. Bunge liliahirishwa  leo asubuhi hadi saa 10 jioni baada ya kuzuia kusomwa kwa hotuba hiyo kwa madai kwamba, ina maneno yanayohitajika kuondolewa ili ikidhi matakwa baada ya kupitiwa na Kamati...

WAZIRI ATAKA WATUHUMIWA WANAOONEKANA KATIKA VIDEO INAYOSAMBAA MITANDAONI WAKIMBAKA MWANAMKE WAFIKISHWE MAHAKAMAN

I Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametaka watuhumiwa waliombaka mwanamke eneo la Dakawa mkoani Morogoro na video yake kusambazwa wafikishwe mahakamani haraka. Haya ndio maneno ya Waziri Ummy Mwalimu katika Akaunti yake ya Facebook: Ndugu zangu! Nimeiona dakika chache zilizopita video ya mwanamke akidhalilishwa na wanaume wawili (mashuka yanaonyesha eneo la Tiff Lodge Wami - Dakawa). Nakemea kwa nguvu...

Waziri Nape Alivyofafanua Suala La Kurusha Live Bunge Mjini Dodoma

Sehemu ya Majumuisho ya Hotuba ya Bajeti ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akitolea ufafanuzi suala la Bunge  kurushwa Live na studio za Bunge...

Serikali Yasema Kusitishwa kwa Baadhi ya Misaada ya Wahisani Hakujaathiri Sekta ya Nishati

Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo ameliambia Bunge Mjini Dodoma kwamba miradi ya umeme vijijini (REA) haijaathirika chochote kwa Bodi ya Shirika la Changamoto za Milenia (MCC) kuondoa misada yake Tanzania. Muhongo ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa aliyetaka kujua serikali imepata hasara kiasi gani kwa MCC kuondoa fedha zake...

Majaliwa asema serikali inataka watu wake wafanye kazi ndiyo maana wamezuia matangazo ya bunge live

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa serikali kuzuia matangazo ya live ya bunge ni kuwafanya wananchi wake wafanye kazi kwa bidii na kuacha kushinda kwenye runinga wakiangalia bunge. Tayari Bunge limeshaelezwa sababu mbili tofauti za kukatisha matangazo hayo ambazo ni gharama ambazo Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) linalipia na hivyo kulazimika kupunguza matangazo hayo. Awali, Waziri...

Aibu, Fedheha ya Mabasi ya Mwendo Kasi, Jiji, Manispaa Dar

IKIWA ni siku tano kupita baada ya mabasi ya mwendo kasi kuanza kusafirisha abiria katika Jiji la Dar es Salaam, hali ya vituo vyake inatisha, anaandika Happiness Lidwino. Baadhi ya vituo hivyo vinatoa harufu kali, vimeenea mikojo, kinyesi na takataka ngumu ambapo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na manispaa husika vimedai kutohusika na usafi wake. Miongoni mwa vituo alivyotembelea mwandishi...

PENZI LA ALI KIBA ,DIAMOND PLATINUMS LAMTESA JOKATE KIDOTI

Mlimbwende Jokate Mwegelo ‘Kidoti’.  Siri imevuja kuwa penzi la vinara wawili wa Muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond PlanumZ’ na Ali Saleh Kiba ‘King’ linadaiwa kumtesa mlimbwende Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ambaye amekuwa akijutia kujiingiza kwenye uhusiano na wasanii hao. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Jokate, hivi karibuni alitupia mashairi...

VIDEO YA WEMA SEPETU YAMUWEKA PABAYA,NI ILE ILIYOMUONYESHA AKIDENDEKA

Kipande cha video kilichosambaa kwenye Mitandao ya Kijamii ya Instagram, Facebook na WhatsApp kikimuonesha staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘akidendeka’ chumbani na mwanaume kimemuweka pabaya baada ya Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Joyce Fisoo kusema kuwa kama ni sehemu ya filamu haina maadili ya Kitanzania.  Akizungumza na Wikienda kwa njia ya simu akiwa nje ya nchi...

Makonda: Wanawake Ndiyo Chanzo Cha Ufisadi Nchini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema wanawake wamekuwa ni chanzo cha ufisadi nchini kutokana na kupokea zawadi zitokanazo na fedha za kifisadi. Makonda aliyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Mnyamani Vingunguti Dar es Salaam jana katika mkutano wa kujadili namna ya kupata mikopo mbalimbali kutoka Benki ya Wananchi Dar es Salaam (DCB). ” Ninyi wakina mama mmekuwa...

Auawa Kwa Kuchomwa Visu Akituhumiwa Kutoka Kimapenzi na Mtalaka Wake

Mkazi wa Kijiji cha Chala B, Tarafa ya Chala wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa, Moses Nambasita (48) ameuawa kwa kuchomwa visu kutokana na kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi. Akisimulia mkasa huo mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwenyekiti wa Kitongoji hicho, Vincent Mwanambuu alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 10 jioni baada ya kuvamiwa na kijana mmoja alipokuwa akitoka nyumbani kwake kwenda nyumba...

Jionee video:Mbunge ataka ichongwe sanamu ya Diamond platnumz iwekwe posta na ile ya askari itolewe.

 Ulanga Goodluck MlingaMay 13 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuwasilisha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017. Katika kipindi cha kupokea michango ya maoni kutoka kwa Wabunge, Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga akaguswa na harakati za staa wa Bongo flava Diamond Platnumz… ’Ingekuwa amri yangu tungechonga sanamu la Diamond...

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu MEI 16 kwenye habari za kitaifa kimataifa udaku na, michezo.

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us