.
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kutoa agizo la kupunguza
mishahara mikubwa ya watendaji wa mashirika ya umma, hatimaye Serikali
kupitia Bodi ya Mishahara imeanza kazi ya kufanya marekebisho hay...
Saturday, April 09, 2016
Mishahara ya watumishi serikalini kusawazishwa iwe katika uwiano ndani ya miezi 15
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Rais wa Zanzibar atangaza baraza la mawaziri
Published Under
ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar Ali Mohammed Shein
Hatimaye Rais wa
Serikali ya Mapunduzi ya Zanzibar ametangaza Baraza lake la Mawaziri
akiwemo Hamad Rashid kutoka Chama cha Upinzani cha AD...
SHARE!
Alikiba Kugeukia Soka..! Je, Vipi Kuhusu Muziki ?
Published Under
TOP STORIES
Msanii
Alikiba amefunguka kuhusu suala la yeye kuingia kwenye soka na
kulisakata kabumbu, na kusema kuwa suala kama hilo linawezekana kwak...
SHARE!
Mwanamuziki NDANDA KOSOVO afariki dunia.
Published Under
TANZIA
Msanii
wa muziki wa dansi Ndanda Kosovo amefariki dunia asubuhi ya leo katika
hosptali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam alipokuwa akipatiwa
matibabu...
SHARE!
AJABU: Mwanafunzi wa kiume apata ‘Hedhi’
Published Under
MAAJABU
Dunia
ina mambo waswahili hawakukosea kusema hili, kila kukicha linaibuka
jipya ambalo kwa namna moja ama nyingine linaweza kukuacha mdomo wazi.Umeshawahi kukutana na mwanaume ambaye hupata siku za mwezi kama kawaida kama wapatavyo wanawak...
SHARE!
Baada ya kulipuliwa na CCM,Lowassa Afunguka na Kumkosoa Rais Magufuli Tena.
Published Under
KITAIFA

Hali ya siasa nchini ni ya hamasa, lakini isiyokuwa na misingi endelevu.
Kwa kuwa Rais amekuwa akigawa fedha wakati chombo cha kufanya hivyo kipo ambacho ni bung...
SHARE!
Ridhiwani Kikwete Akana kufanya biashara na Kampuni Ya Lugumi Inayotuhumiwa Kwa Mkataba Tata na Jeshi la Polisi
Published Under
KITAIFA
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekanusha taarifa zilizosambaa
katika mitandao ya kijamii na kwenye vyombo vya habari kuwa yeye ni
mmoja wa wamiliki wa kampuni ya Lugumi, inayodai...
SHARE!
Ccm Wamlipua Lowassa baada ya kuponda uongozi wa Magufuli.
Published Under
KITAIFA

Aliyekuwa mgombea Urais wa UKAWA kupitia CHADEMA, Ndugu Edward Lowassa,
Aprili 7, 2016 alifanya mazungumzo na Wanazuoni kutoka katika vyuo
vikuu vya ndani na nje ya nchi....
SHARE!
Mrema wa TLP amuomba JPM kazi
Published Under
KITAIFA
Mwenyekiti wa TLP taifa, Augustine Mrema
MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) taifa, Augustine Mrema
amemuunga mkono Rais John Mgufuli kwa kasi yake ya kupambana na ufisadi
na kumuomba ampe kazi ili amsaidie kutekeleza jukumu hil...
SHARE!
Waziri Mkuu atishia kufuta halmashauri
Published Under
KITAIFA
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametishia kufuta halmashauri
zitakazoshindwa kukusanya mapato kufikia asilimia 80 ya lengo na
kuwaonya watumishi wa halmashauri hizo wenye kampuni za...
SHARE!
Diamond yamkuta mazito
Published Under
TOP STORIES
Kitendo cha kuposti picha inayomuonesha akiwa ametoboa
pua na kuvaa kipini kilichofanywa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond Platnumz’ kimemfanya yamkute mazito kufuatia mashehe kumjia juu
na kuwa gumz...
SHARE!
Magazeti ya tanzania yaalichoandika leo Jumamosi ya April 9 kwenye habariza kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO
April 9 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya sasa blog, pia kwenye twitter
@tanzaniampysas...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)