KINGAZI BLOG: 04/27/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, April 27, 2016

VIDEO: Ripoti ya CAG imevigusa vyama vya siasa? adhabu kutolewa ndani ya siku 90

Baada ya ripoti ya CAG kutangazwa, Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi  amevitaka vyama vya siasa nchini kuwasilisha hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2014/15 ndani ya siku 90 kabla havijachukuliwa hatua za kisheria. Pia amevitaka vyama hivyo kuheshimu sheria...

Ningekuwa Dhaifu Ningekuwa Nimeshajiua kwa Matusi Mtandaoni – Huddah

Huddah Monroe amewataka Wakenya na wengine wanaomfahamu kumwacha aishi maisha yake. Kupitia post ndefu aliyoiweka Instagram, Huddah amedai kuwa kwa matusi anayotukanwa kila siku kwenye mitandao ya kijamii, kama angekuwa na moyo mwepesi angekuwa ameshajiua. Ameomba mara moja watu kuacha kufuatilia maisha yake na kumtukana pasipo sababu. “I, Huddah Monroe , I am known to live my life . I have...

VIDEO;Hebu angalia kipande cha video ya Diamond platnumz aliyomshirikisha zari.

Diamond & Zari BOFYA HAPA KUONA VIDEO HIYO LIVE Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma...

Soma Hapa Nafasi za Kazi Kutoka Makampuni mbali mbali leo 27 April 2016

>>Nafasi za Kazi Pan African Lawyers Union, Application Deadline 27 Apr 2016 >>Nafasi ya Kazi Standard Chartered Bank, Application Deadline 30 Apr 2016 >>Nafasi ya Kazi Serengeti Breweries Limited (SBL), Application Deadline 06 May 2016 >>Nafasi ya Kazi UNESCO Dar es Salaam, Application Deadline 30 April 2016 >>Nafasi ya Kazi Tembotel East Africa Limited, Application...

Magufuli awapa msamaha wafungwa 3,551

    RAIS John Magufuli katika kusherehekea miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,551 kwa kuwapunguzia 1/6 ya vifungo vyao. Katika msamaha huo, wafungwa 580 wataachiwa huru huku wengine 2,971 wakinufaika na msamaha lakini watabaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifungo kilichobaki.   Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara...

Ripoti ya CAG ni kitanzi kwa Mafisadi.

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema wakati umefika sasa wa kubadili mfumo kutoka ule wa kutegemea vyombo vya serikali kutumika kuchunguza namna mafisadi walivyopata mali zao ili sasa mafisadi wenyewe...

Je, Wajua Majina ya Pombe na Magufuli yalipotokea? soma hapa

Majina mawili ya Dk. John Pombe Joseph Magufuli yana historia yake ya jinsi yalivyopatikana. Majina hayo mawili ‘Pombe’ na ‘Magufuli’ yalitokana na bibi na babu wazaa baba yake Magufuli. Jina la ‘Pombe’ alipewa na bibi yake kwani wakati anazaliwa bibi yake alikuwa amepika pombe siku hiy...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 27 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 27 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog na twitter@tanzaniampyasasa  ; ... Je,...
 

Gallery

Popular Posts

About Us