Baada ya
ripoti ya CAG kutangazwa, Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji
Francis Mutungi amevitaka vyama vya siasa nchini kuwasilisha hesabu za
Serikali (CAG) ya mwaka 2014/15 ndani ya siku 90 kabla havijachukuliwa
hatua za kisheria.
Pia
amevitaka vyama hivyo kuheshimu sheria...
Wednesday, April 27, 2016
VIDEO: Ripoti ya CAG imevigusa vyama vya siasa? adhabu kutolewa ndani ya siku 90
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Ningekuwa Dhaifu Ningekuwa Nimeshajiua kwa Matusi Mtandaoni – Huddah
Published Under
TOP STORIES

Huddah Monroe amewataka Wakenya na wengine wanaomfahamu kumwacha aishi maisha yake.
Kupitia post ndefu aliyoiweka Instagram, Huddah amedai kuwa kwa matusi
anayotukanwa kila siku kwenye mitandao ya kijamii, kama angekuwa na moyo
mwepesi angekuwa ameshajiua. Ameomba mara moja watu kuacha kufuatilia
maisha yake na kumtukana pasipo sababu.
“I, Huddah Monroe , I am known to live my life . I have...
SHARE!
VIDEO;Hebu angalia kipande cha video ya Diamond platnumz aliyomshirikisha zari.
Published Under
TOP STORIES
VIDEO
Diamond & Zari
BOFYA HAPA KUONA VIDEO HIYO LIVE
Ugandan socialite Zari
is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo
for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on
23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she
moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved
to London and acquired a diploma...
SHARE!
Soma Hapa Nafasi za Kazi Kutoka Makampuni mbali mbali leo 27 April 2016
Published Under
AJIRA

>>Nafasi za Kazi Pan African Lawyers Union, Application Deadline 27 Apr 2016
>>Nafasi ya Kazi Standard Chartered Bank, Application Deadline 30 Apr 2016
>>Nafasi ya Kazi Serengeti Breweries Limited (SBL), Application Deadline 06 May 2016
>>Nafasi ya Kazi UNESCO Dar es Salaam, Application Deadline 30 April 2016
>>Nafasi ya Kazi Tembotel East Africa Limited, Application...
SHARE!
Magufuli awapa msamaha wafungwa 3,551
Published Under
KITAIFA
RAIS John Magufuli katika kusherehekea miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ametoa msamaha kwa wafungwa 3,551 kwa kuwapunguzia 1/6 ya vifungo vyao. Katika msamaha huo, wafungwa 580 wataachiwa huru huku wengine 2,971 wakinufaika na msamaha lakini watabaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifungo kilichobaki.
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Wizara...
SHARE!
Ripoti ya CAG ni kitanzi kwa Mafisadi.
Published Under
KITAIFA
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa
Assad amesema wakati umefika sasa wa kubadili mfumo kutoka ule wa
kutegemea vyombo vya serikali kutumika kuchunguza namna mafisadi
walivyopata mali zao ili sasa mafisadi wenyewe...
SHARE!
Je, Wajua Majina ya Pombe na Magufuli yalipotokea? soma hapa
Published Under
TOP STORIES

Majina mawili ya Dk. John Pombe Joseph Magufuli yana historia yake ya jinsi yalivyopatikana.
Majina hayo mawili ‘Pombe’ na ‘Magufuli’ yalitokana na bibi na babu wazaa baba yake Magufuli.
Jina la ‘Pombe’ alipewa na bibi yake kwani wakati anazaliwa bibi yake alikuwa amepika pombe siku
hiy...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 27 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

April 27 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog
na twitter@tanzaniampyasasa
;
...
Je,...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)