KINGAZI BLOG: 06/20/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, June 20, 2016

MSANII JUX APATA MAJANGA HAYA

Juma Musa ‘Jux’ na mpenzi wake, Vanessa Mdee ‘V-Money’. DAR ES SALAAM: Familia ya staa wa Bongo Fleva, Juma Musa ‘Jux’ imeingilia kati ishu ya mwanaume ‘tata’, mkazi wa Dar, James Delicious aliyetangaza kumtaka kimapenzi msanii huyo ambaye ni mpenzi wa Mwanamuziki Vanessa Mdee ‘V-Money’. Akizungumza na Wikienda kwa niaba ya familia, dada wa Jux, Fatu-ma Juma alisema kuwa hakuna kitu kinachowaudhi...

Kurudiana na Diamond, Wema Aanika Ukweli

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ enzi za penzi lao. Stori: Imelda mtema, Wikienda Dar es Salaam: Vunja ukimya! Tetesi zinazogonga vichwa vya mashabiki wa mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimepata ufumbuzi baada ya mlimbwende huyo kuanika ukweli wa ‘ubuyu’ huo, Wikienda limefanya naye mahojiano maalum (exclusive interview)...

Njia rahisi 8 za kupata ajira popote ukiwa umemaliza chuo hizi hapa

Kutoka mwaka 2012 hadi 2015, kipindi cha miaka 3.. Nimeajiriwa na kampuni 7, full time, mshahara mzuri tu. Cha kushangaza hamna kampuni hata moja ambayo imewahi kusisitiza nioneshe cheti, baadhi huwa wanaulizia ila nikiiingia kwenye interview hua napita hadi wanasahau kuhusu cheti. Baada ya kuacha kazi yangu ya mwisho (sijawahi kufukuzwa, naacha mwenyewe) nime pata offer ya kazi zaidi ya sehemu 12,...

Wastara Aamua Kuachana na Uigizaji

Dar es Salaam: Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amejipanga kuachana na uigizaji na kufanya ishu nyingine ikiwa ni pamoja na biashara ambazo ameanza kuzifanya. Akizoza na Wikienda, Wastara alisema kuwa anamalizia kazi ya uigizaji mwaka huu na mwaka unaokuja atakuwa mwingine kabisa kwani baada ya kufika nchini Msumbiji (aliko kwa sasa) amepata dili lingine zuri ambalo ataliweka wazi baada...

GIGY MONEY AELEZA JINSI MWARABU WAKE ALIVYOMSITIRI

IKIWA imepita wiki moja tangu ‘muuza nyago’ kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kugundulika kuwa ameangukia katika penzi la mwanaume wa Kiarabu aishiye Dubai, Aziz, staa huyo amefunguka kuwa amemsitiri vitu vingi. Akizungumza na mwandishi Gigy ambaye pia ni Mtangazaji wa Choice FM katika Kipindi cha Admin alisema kuwa kila binadamu anapangiwa mtu sahihi wa kuishi naye na kwamba...

Breaking News: Basi la NBS latapa ajali mbaya Gairo

Basi la NBS linalotoka DAR kwenda TABORA limepata ajali mbaya maeneo ya Gairo, inasemekana kunawatu wamelaliwa na Basi hilo na mpaka sasa haijajulikana watu wangapi wamefariki Dunia na waliojeruliwa.. Tunaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu zaidi na tutakujuza mdua sio mrefu kila kitakacho jili.. source :Muungwana bl...

Kim Kardashian kumnusuru auza makalio kwenye ‘gift paper’

Kim Kardashian. NEW YORK, MAREKANI KISTAAJABU ya Musa! Mwanamitindo na Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian ameamua kujikita kwenye ujasiriamali ambapo hivi karibuni aliibuka na biashara ya kuuza makalio yake kwenye karatasi za zawadi ‘gift paper’. Makalio yake kwenye karatasi za zawadi ‘gift paper’. Kim (32) ambaye ni mama wa watoto wawili, North na Saint...

Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje

Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumbi wa Bunge wakiwa wamejifunika midomo kwa karatasi. Hii ni wiki ya pili mfululizo wabunge hao wamekuwa wakitoka bungeni baada ya kutangaza kutohudhuria kikao cha bunge kinachoongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson. Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), James Mbatia amesema wameamua...

Askofu Gwajima atoa Tamko

Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, jana walisali bila kuwapo kwa Askofu wao, Josephat Gwajima ambaye anatafutwa na Jeshi la Polisi.  Mara nyingi Jumapili, Gwajima ndiye amekuwa akiongoza ibada katika kanisa hilo lililopo Ubungo Kibo, lakini jana iliongozwa na mchungaji Edward Adriano ambaye hata hivyo, hakueleza chochote kuhusu alipo askofu huyo. Gwajima anatafutwa na polisi baada ya kusambaa...

Serikali yaamua kusitisha Ajira Zote Kwa Muda

SERIKALI imesitisha ajira zote, kama njia ya kukabiliana na wimbi la watumishi hewa. Kutokana na uamuzi huo hivi sasa hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa Serikali na wakala zake pamoja na utoaji wa vibali wa likizo ya bila malipo. Katibu Mkuu Utumishi, Dk. Laurean Ndumbaro,  jana alisema kuwa Serikali imesitisha kwa muda utoaji wa ajira, ili kupitia upya muundo wa Serikali na taasisi...

HAYA HAPA MAGAZETI YA TANZANIA YALICHOANDIKA LEO TAR 20 JUNE 2016 KWENYE HABARI ZA KITAIFA KIMATAIFA MICHEZO.

Karibu ,tunakuletea kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo June 20 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na stori nyingine kali usiache kukaa na si kupitia facebook kwa kulike Page yetu na pia kutufollow kupitia twitter@tanzaniampyasasa. ...

Albamu ya Beyonce 'Lemonade' yashtakiwa

Image copyrightREXImage captionBeyonce Albamu mpya ya Lemonade iliotolewa na Beyonce Knowles imeorodheshwa miongoni mwa albamu zilizopendwa sana baada ya kutolewa mwaka huu,lakini ,kipande cha albamu hiyo kilichotolewa wiki moja kabla ya uwepo wa albamu hiyo kufichwa hadi wakati wa toleo la filamu fupi lililoandamana na albamu hiyo kimezua utata. Kipande hicho cha albamu hiyo kilishirikisha msururu...

Wasiohudhuria vikao vya bunge TZ hawatalipwa

Image captionBunge la Tanzania Wabunge wa upinzani nchini Tanzania ambao wamekuwa wakikosa kuhudhuria vikoa vya bunge kwa karibu wiki ya pili mfululizo, hawatalipwa marupuupu yao wakati wa kipindi hicho, hadi pake watakapoanza kuhuduria vikao. Naibu spika Dr Tulia Ackson alitoa tangazo hilo kaumbatanana uamuzi wa awali ulitolewa na spika wa bunge mwaka 2008 wakati wabunge kutoka chama cha CUF...

Vyakula 7 vizuri kwa kuongeza nguvu za kiume kikamilifu

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Ni jambo linaloweza kupata ufumbuzi kwa urahisi kama utazingatia kula vizuri na kufanya mazoezi. Ili kuongeza stamina kwenye mapenzi si lazima kutumia madawa makali kama viagra au vilevi vikali....
 

Gallery

Popular Posts

About Us