Mwanamume
aliyefariki ameteuliwa kusimamia mechi ya soka nchini Nigeria ambayo
itachezwa Jumapili, mwandishi wa BBC anayefuatilia masuala ya soka
Oluwashina Okeleji anasema.Wale
Akinsanya aliteuliwa kuwa mwamuzi kwenye mechi baina ya Warri Wolves na
Giwa FC katika mji wa Warri kusini mwa Nigeria, gazeti la Punch la
Nigeria limeripoti.Hii...
Friday, April 22, 2016
Maajabu ya dunia!!!!!!!!!! Marehemu Ateuliwa Kusimamia Mechi Huko Nigeria
Published Under
MAAJABU
SHARE!
Video ya ‘Ndi ndi ndi’ ya Jide yazinduliwa rasmi
Published Under
TOP STORIES

Lady Jaydee ‘Jide’ akizungumza jambo kwa mashabiki wake katika hafla hiyo.
Msanii Bob Junior (kulia) akizungumza na Global TV Online kuhusiana na uzinduzi huo wa Video ya ‘Ndi ndi ndi’ ya Lady Jaydee.
Baadhi ya mashabiki wakifuatilia hafla hiyo.
Lady Jaydee akifanya mahojiano na baadhi ya wanahabari waliofika kwenye hafla hiyo.
VIDEO ya wimbo wa Lady Jaydee ‘Jide’ ya...
SHARE!
Diamond ni… Busta ya Mastaa Afrika
Published Under
TOP STORIES
Nassibu Abdul a k a Diamond Platnumz
Miaka kumi tu nyuma, ulipokuwa ukimzungumzia mwanamuziki mwenye jina kubwa kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ hakukuwa na mtu aliyekuwa akimfahamu, labda washkaji zake wa kitaa ambao kwa namna moja au nyingine walikuwa wakimwambia ‘Mwana wewe pigana tu kuna siku utatusua”.
Ndiyo, alipambana, alipopiga ngoma kama Kamwambie, Mbagala na nyingine nyingi...
SHARE!
Waziri Mkuu Majaliwa Kaguswa na kero za Elimu, kutoa maagizo haya ndani ya Bunge
Published Under
BUNGE
Bunge la 11 limeendelea tena leo April 22 2016, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amehutubia bunge kuhusu mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka 2016/2017.
Katika kitengo cha huduma ya Jamii Elimu, Waziri Majaliwa amesema ‘Kwa kutambua umuhimu wa Elimu kama nyenzo imara ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, Serikali imeanza...
SHARE!
Picha Mzee Mengi na Jacqueline Maisha ni Motomoto... Wakubwa Wanafaidi Sana
Published Under
TOP STORIES
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani
zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama
"msukule" anakaa tu dukani siku nzim...
SHARE!
Msafara wa Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (Tamisemi), Seleman Jafo Wapotea Dodoma
Published Under
KITAIFA

Msafara wa Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (Tamisemi), Seleman Jafo leo
asubuhi ulipotea njia kutokana na watumishi wa Manispaa ya Dodoma
kutojua eneo ambalo waziri huyo alikuwa analitembelea.
Waziri Jafo alikuwa amepanga kufanya ziara kwenye Shule ya Msingi ya
Nzuguni B kwa lengo la kuangalia mapungufu, hasa tatizo la uhaba wa
madawati, lakini hakufika kama alivyotarajia kutokana...
SHARE!
Msanii wa muziki Prince Rogers (1958-2016) afariki dunia
Published Under
TOP STORIES
Prince Rogers Nelson enzi za uhai wake.
Mwanamuziki maarufu wa nchini Marekani, Prince Rogers Nelson amefariki dunia jana.
Prince aliyekuwa na umri wa miaka 57 amekutwa na mauti jana katika makazi yake yaliyopo Minneapolis nchini Marekani.
Alizaliwa Juni 7, 1958 na kutawala chati za muziki kote duniani
katika miaka ya 1970 na 1980 kwa vibao vyake maarufu kama vile ‘I Wanna
Be...
SHARE!
Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Katika Magazeti
Published Under
AJIRA

Nafasi za Kazi Family Health International, Application Deadline 02 May 2016
Nafasi ya Kazi Mellon Consults LTD, Application Deadline 06 May 2016
Nafasi za Kazi Kenya Commercial Bank (KCB), Application Deadline April 27, 2016
16 Employment Opportunities at Bugando Medical Centre
Opportunity at Tanzania Revenue Authority (TRA)
Tembelea: www.ajirayako.co...
SHARE!
MASHINE YA KUSIMAMISHA MATITI YAINGIA TANZANIA, ANGALIA MADHARA YAKE HAPA
Published Under
TOP STORIES

Hii ndiyo mashine ya kusimamishia matiti na hapa ipo kutumika
Hii
sayansi na teknologia sasa inatupeleka pabaya. Hivi karibuni wataalam
toka china wameleta mashine maalumu ya kunyanyua matiti (yawe na
muonekano wa saa 6)...
SHARE!
Rais Magufuli Atema Cheche Kuhusu Wanaolalamika Juu ya MAJIPU Anayoyatumbua Hadharani..Angalia Video Hapa
Published Under
KITAIFA

Rais Magufuli leo amekutana na Viongozi
wa CCM ngazi za Mikoa na Wilaya kwa lengo la kuwashukuru kwa kazi
nzuri walizofanya wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Katika hafla hiyo, Rais Magufuli
ameeleza kusikitishwa kwake na baadhi ya watu wanaowaonea huruma
mafisadi ambao wamekuwa wakitumbuliwa hadharani.
Amesema fisadi hastahili huruma kwa sababu yeye wakati...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo ijumaa ya April 22 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO

April 22 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo
na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache
kukaa karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasablog
na twitter@tanzaniampyasasa....
SHARE!
New AUDIO | Walter Chilambo x Raymond - KWETU (Cover) | Download
Published Under
NEW AUDIO

...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)