KINGAZI BLOG: 07/21/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, July 21, 2016

BREAKING NEWS!!! Taarifa Kwa Umma Kutoka Wizara Ya Elimu

...

Rais wa Uturuki Atangaza Hali Ya Hatari kwa miezi mitatu

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan ametangaza hali ya hatari itakayodumu kwa miezi mitatu ili kutoa nafasi kwa mamlaka kuchukua hatua stahiki dhidi ya wanaoshukiwa kushiriki mapinduzi ya kijeshi yaliyoshindwa juma lililopita. Erdogan, ambaye alianzisha hatua ya kamata kamata katika taasisi mbalimbali tangu baada ya mapinduzi yaliyoshindwa, amesema hatua hiyo inazingatia katiba ya Uturuki...

Ali Kiba na Baraka Da Prince Wavamiwa na Majambazi Sauz

WANAMUZIKI wawili maarufu nchini Ali Kiba na Baraka Da Prince wanaosimamiwa na lebo ya Rockstar 4000 jana Julai 20, 2016 walivamiwa na majambazi saa tatu usiku kwa saa za Afrika Mashariki wakiwa safarini nchini Afrika Kusini. Managementi inayowasimamia wasanii hao ya Rockstar 4000 imesema wasanii hao walivamiwa wakiwa kwenye kikao cha mikakati ya kuzungumzia safari yao nchini humo watakakokaa...

Maaaaajabuu!!!!! Mbuzi azaa kichanga chenye sura ya binadamu

  Nigeria HAYA ni maajabu mengine kuwahi kutokea duniani! Mbuzi alyekuwa na mimba amejifungua kiumbe ambacho kina sura kama ya binadamu. Tukio hilo lilitokea jana Jumatano katika mji wa Taraba nchini Nigeria na kuwaacha watu midomo wazi wakishangaa huku wasiamini kilichotokea. Chombo cha habari cha Rariya cha nchini humo kiliripoti kuwa, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio  hiyo, huenda...

Nafasi ya kazi Tanzania Norplan Tanzania Ltd mwisho wa maombi ni tarehe 3 august 2016

SUPERVISOR ( MEDIUM AND LOW VOLTAGE LINE CONSTRUCTION) POSITION DESCRIPTION: From Mwananchi, 13th July 2016 NORPLAN Tanzania Ltd (NORPLAN) is a multidisciplinary Consultancy firm registered with Engineers Registration Board as a Local Consulting Company under Registration Number LCF 092. NORPLAN is a member of Association of Consulting Engineers Tanzania (ACET) hence directly affiliated with FIDIC....

Njia 3 Asili za Kuondoa Weusi katika Makwapa na Mapaja

Inner thighs/mapaja ya ndani na makwapa hutokea weusi kutokana na msuguano wa ngozi kwasababu ya mapaja kugusana, hata ngozi iliyokauka pia inaleta weusi katika ngozi. Hivyo nimekuletea njia natural ya kuondoa weusi huo bila kutumia madawa makali. 1.TUMIA MAFUTA YA NAZI NA NDIMU. Mafuta ya nazi yanatumikakulainisha ngozi lakini unaweza kutumia pia katika kuondoa weusi ukichanyanya na ndimu.. Fata...

CHECK PICHA MASTAA WA BONGO WALIOACHIWA WATOTO LAKINI HAKUNA NDOA

Rose Ndauka Mwandishi wetu, Risasi Jumamosi MPANGO au matarajio ya kila mwanadamu ni kuishi katika uchumba, kuolewa kisha kupata watoto! Wapo ambao wamefanikiwa hilo, wapo ambao wamepata kwanza mimba baadaye wakaolewa lakini wapo pia waliopata mimba kabla ya ndoa kisha wakatofautiana na waliowapa, kila mmoja anaishi kivyake. Katika ulimwengu wa mastaa wa kike Bongo, leo nakuletea baadhi ya mastaa...

MASTAA WA BONGO MOVIE WALIOKUMBWA NA MAKUBWA,UREMBO WOTE KWISHINE,

AUNT EZEKIEL. Na Gladness Mallya Kuna watu wamekuwa wakisema kuwa, duniani hakuna mtu aliyeumbwa mwembamba! Kwamba unayemuona leo akiwa mwembamba usije ukashangaa kesho ukakutana naye akiwa bonge kiasi cha kuchukiza. Hilo limekuwa likitokea sana kwa wanaume na wanawake. Mifano ya watu hao ipo na tunapoiangalia fani ya uigizaji Bongo, wapo mastaa wa kike ambao huko nyuma walikuwa potabo, lakini...

MKE WA REGNARD MENGI, JACKLINE, ATANGAZA AJIRA HIZI, CHANGAMKIA SASA.

MKE wa Bilionea mkubwa TZ,Regnald Mengi,Jackline Mengi leo hii ametangaza tenda kubwa kwa wasuka KATANI wote nchini ambao wanaweza kutengeneza zulia la katani. Jackline ambaye umaarufu wake umekuwa zaidi mara baada ya kuolewa na mmiliki huyo wa kituo cha Luninga cha ITV,ameandika kuwa yupo tayari kukutana na fundi wa kutengeneza mazulia hayo ili wakafanya biashara. V  Follow ✔ Bado natafuta...

Diamond platinumz azidi kung'ara ....!!!! Ateuliwa kuwania Tuzo zingine tena.

The African Muzik Magazine Awards AFRIMMA has today unveiled the nominees list for the 3rd edition of the biggest African music awards in Diaspora. Following the outstanding success of the 1st and 2nd editions, AFRIMMA 2014 and AFRIMMA 2015 respectively; anticipation and expectations have hit the roof for this year’s edition set to hold in Dallas on October 15th, 2016. Some of Africa’s big hitters...

Wema: Licha ya Kuniacha, Nitazaa na Idris

LICHA ya madai kuwa wapenzi wawili, Idris Sultan na Wema Sepetu wamemwagana, muigizaji huyo nyota na Miss Tanzania 2006, amesema anataka kuzaa na mshindi huyo wa Big Brother Hotshots 2014 kutokana na jinsi anavyojali na mwenye huruma nyingi. Akiteta na Amani hivi karibuni, Wema alisema atajisikia fahari sana endapo mtoto wake wa kwanza angezaa na Idris kwa kuwa amemuonesha dhahiri kuwa ni baba bora. “Kiukweli...

Kinana atoa Masharti Endapo Rais Magufuli Atamhitaji Aendelee Kuwa Katibu Mkuu wa CCM

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametoa neno endapo Rais John Magufuli atamhitaji kuendelea na wadhifa huo, huku akibainisha kuwa amekutana na changamoto nyingi katika nafasi hiyo kiasi kwamba wakati mwingine alikata tamaa. Mwanasiasa huyo maarufu ndani ya CCM na nchini, anatarajiwa kuhitimisha uongozi wake wiki hii wakati Mwenyekiti mpya wa CCM Taifa, Rais John Magufuli...

Magazeti ya Leo alhamisi Julai 21 kwenye habari za udaku, kitaifa kimataifa, michezo n. K

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us