
Rose Ndauka
Mwandishi wetu, Risasi Jumamosi
MPANGO au matarajio ya kila mwanadamu ni kuishi katika uchumba, kuolewa kisha kupata watoto! Wapo ambao wamefanikiwa hilo, wapo ambao wamepata kwanza mimba baadaye wakaolewa lakini wapo pia waliopata mimba kabla ya ndoa kisha wakatofautiana na waliowapa, kila mmoja anaishi kivyake.
Katika ulimwengu wa mastaa wa kike Bongo, leo nakuletea baadhi ya mastaa...