Katika kile kinachoweza kutafsiriwa kuwa
ni mzimu wa "Anne Kilango",simanzi imeendelea kuwagubika wakazi wa
Shinyanga kufuatia rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John
Pombe Magufuli kutengeua uteuzi wa aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Anne
Kilango Malecela.
Wakazi hao wa Shinyanga wameeleza
kusikitishwa na kitendo hicho na kueleza kukata tamaa kama watapata tena
kiongozi...
Sunday, April 17, 2016
Mzimu wa Anne Kilango Wazidi Kuwatesa Wananchi Shinyanga,Vilio Kila Kona,Wakata Tamaa
Published Under
KITAIFA
SHARE!
Ofisi ya Bunge Yalivaa Gazeti la Nipashe Habari ya LUGUMI,Yalitaka Liombe Radhi
Published Under
KITAIFA

Ofisi
ya Bunge imebaini upotoshwaji mkubwa Katika habari iliyochapishwa na
Gazeti la Nipashe toleo la Aprili 16, 2016 yenye kichwa cha habari
kisemacho “ Bunge sasa laufyata mkataba wa Lugumi”.
Habari
hiyo imeandikwa kufuatia ufafanuzi uliotolewa na Bunge jana kuhusu
maagizo yaliyotolewa na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) dhidi ya
utekelezaji wa mkataba wa Jeshi la Polisi...
SHARE!
DARAJA la Kigamboni Laanza Kutumika Kwa Mbwembwe...Wengine Wafanya Kama Sehemu ya Kivutio
Published Under
KITAIFA

Baada ya Serikali kuruhusu matumizi ya daraja jipya la Kigamboni kwa
watembea kwa miguu na magari kwa majaribio, hatua hiyo imepeleka neema
kwa wakazi wa mji huo, huku ikipunguza idadi ya vyombo vya moto katika
vivuko.
Jana asubuhi, mwandishi wetu alishuhudia magari yakipita katika daraja
hilo, kama ilivyo katika barabara zilizozoeleka za Mandela na Morogoro,
huku baadhi ya...
SHARE!
Msanii TUNDA MAN apata AJALI mbaya ya gari Mkoani Iringa.Habari za Kifo na Majeruhi soma Hapa.
Published Under
MAJANGA

Kama ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakua umekutana na taarifa
inayomhusisha Tunda Man kupata ajali akiwa Mkoani iringa Asubuhi ya
April 17 chanzo cha habari kimempata Tunda Man mwenyewe na amekubali
kutuelezea.
Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema
‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora
tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)