KINGAZI BLOG: 04/17/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, April 17, 2016

Mzimu wa Anne Kilango Wazidi Kuwatesa Wananchi Shinyanga,Vilio Kila Kona,Wakata Tamaa

  Katika kile kinachoweza kutafsiriwa kuwa ni mzimu wa "Anne Kilango",simanzi imeendelea kuwagubika wakazi wa Shinyanga kufuatia rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kutengeua uteuzi wa aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Anne Kilango Malecela.  Wakazi hao wa Shinyanga wameeleza kusikitishwa na kitendo hicho na kueleza kukata tamaa kama watapata tena kiongozi...

Ofisi ya Bunge Yalivaa Gazeti la Nipashe Habari ya LUGUMI,Yalitaka Liombe Radhi

Ofisi ya Bunge imebaini upotoshwaji mkubwa Katika habari iliyochapishwa na Gazeti la Nipashe toleo la Aprili 16, 2016 yenye kichwa cha habari kisemacho “ Bunge sasa laufyata mkataba wa Lugumi”.  Habari hiyo imeandikwa kufuatia ufafanuzi uliotolewa na Bunge jana kuhusu maagizo yaliyotolewa na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) dhidi ya utekelezaji wa mkataba wa Jeshi la Polisi...

DARAJA la Kigamboni Laanza Kutumika Kwa Mbwembwe...Wengine Wafanya Kama Sehemu ya Kivutio

Baada ya Serikali kuruhusu matumizi ya daraja jipya la Kigamboni kwa watembea kwa miguu na magari kwa majaribio, hatua hiyo imepeleka neema kwa wakazi wa mji huo, huku ikipunguza idadi ya vyombo vya moto katika vivuko. Jana asubuhi, mwandishi wetu alishuhudia magari yakipita katika daraja hilo, kama ilivyo katika barabara zilizozoeleka za Mandela na Morogoro, huku baadhi ya...

Msanii TUNDA MAN apata AJALI mbaya ya gari Mkoani Iringa.Habari za Kifo na Majeruhi soma Hapa.

Kama ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakua umekutana na taarifa inayomhusisha Tunda Man kupata ajali  akiwa Mkoani iringa Asubuhi ya April 17 chanzo cha habari kimempata Tunda Man mwenyewe na amekubali kutuelezea. Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema ‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe...
 

Gallery

Popular Posts

About Us