Image copyrightAPImage captionWapiganaji wa Al shabaab wameendeelea kuwalenga wanajeshi wa serikali na wale wa kigeni nchini Somalia
Jeshi la Marekani limesema kwamba lilitekeleza mashambulio ya anga nchini Somalia na kuwaua wapiganaji 12 wa kundi la Al Shabaab. Idara ya ulinzi imesema wapiganaji hao walitishia usalama wa maafisa wa Marekani ambao wanasaidia wanajeshi wa serikali ya Somalia.
Mashambulizi...
Wednesday, April 13, 2016
ENDELEA KUFUATILIA SEHEMU YA NNE YA STORI HII KALI YA MAPENZI IITWAYO ==TARATIBU MPENZI.-4
Published Under
LOVE STORY

TARATIBU MPENZI 4
Mtunzi;Geofrey Malwa
Mawasiliano;0712507115
Suzan alijikuta akiishiwa nguvu na kumruhusu Nelson
kutimiza alichokipanga juu yake,,,alishindwa kusimama kutokana na raha
aliyoipata kwa kushikwashikwa makalio yake yaliyokuwa laini kitendo
kilichoambatana na kunyonywa ulimi wake,,,akawa kama anataka kuanguka
ambapo alizuiliwa na mikono ya Nelson ilyopita kiunoni mwake...
SHARE!
Diamond platnumz na Huu ndio ukweli wake kuhusu Mjengo Maana anaoumiliki South Africa na Marekani..
Published Under
STORI KALI

.Baada ya kumaliza tour yake ya muziki Bara la ulaya na kurudi,
Msanii anayefanya vizuri kitaifa na kimataifa na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania, Nassib abdul maarufu kama Diamond platnumz,
Ameweka wazi mambo mbalimbali kuhusu...
SHARE!
New AUDIO | Salam Tmk - Mfuko | Download
Published Under
NEW AUDIO

DOWNLOAD APPYATANZANIAMPYASASA
HAPA
...
SHARE!
Njama nzito kuficha mkataba wa Lugumi zajulikana.
Published Under
KITAIFA
Ni ule uliohusisha vigogo wa Serikali, Jeshi la Polisi
Watumia bilioni 5/- mafunzo kwa watu watano
MKATABA tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises Ltd inayomilikiwa na
mfanyabiashara Said Lugumi, umezidi kuchukua sura mpya baada ya Kamati
ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kushindwa kuendelea na sakata hilo
kutokana na kuhamishiwa ...
SHARE!
Taarifa ya TMA ya Aprili 12 ya mwelekeo wa mvua kwa siku 5 zijazo
Published Under
CLIMATE
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari kuhusu mvua zinazoendelea kunyesha kila sehemu nchi nzima.Katika taarifa yao kwa umma wameeleza mambo yafuatay...
SHARE!
Magufuli, Lowassa wakwepana tena
Published Under
KITAIFA
WAZIRI Mkuu mstaafu Edward Lowassa, kwa mara nyingine tena amekwepa kukutana ana kwa ana na Rais Dk. John Magufuli...
SHARE!
Q-Chillah kufanya bonge la kolabo na Diamond platnumz hivi karibuni
Published Under
TOP STORIES

Q-Chief amedai kuwa anataka kufanya wimbo mkubwa na Diamond.Ameiambia blog hii kuwa mazungumzo kwaajili ya kufanyika wimbo huo yapo sehemu nzur...
SHARE!
Shamsa Ford Afurahia Kurudiana na Ney wa Mitego
Published Under
STORI KALI

BAADA ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani, Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na kufurahia kauli hiy...
SHARE!
TETESI:Anne Kilango Kupangiwa Kazi Nzuri zaidi ya Ukuu wa Mkoa Aliyofukuzwa.
Published Under
TETESI

Mh Anne Kilango Maleccela anasubiri kupangiwa kazi nyingine na Rais Dr Magufuli na huenda akapangiwa kazi nzuri zaidi ya kazi yake ya awali ya Ukuu wa Mko...
SHARE!
Mwanamuziki Ndanda Kosovo kuzikwa leo
Published Under
TANZIA
Image captionNdanda Kosovo kuzikwa leo
Leo ni Siku ya Maziko ya Mwanamuziki maarufu, Ndanda Kosovo, mwenye asili ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo ambaye aliaga dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi nchini Tanzania alikokuwa anafanya Shughuli zake za muziki...
SHARE!
Mtu mrefu kuliko wote Duniani aitembelea Mauritius
Published Under
STORI KALI
Mtu
mrefu zaidi duniani raia wa Uturuki Sultan Kösen aliye na urefu wa futi
8 na inchi 3 au mita 2.51 amewasilia nchini Mauritius jana asubuh...
SHARE!
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 13 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.
Published Under
MAGAZETINI LEO
April 13 2016 naanza kwa nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye
Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani..
usiache kukaa
karibu kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamiiyaani facebook/tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasas...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)