KINGAZI BLOG: 09/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, September 16, 2016

Shilole na Nuh Mziwanda wamaliza bifu lao

Ilikuwa ni ‘break up’ iliyofuatiwa na uadui mkubwa. Ilipelekea hadi Nuh Mziwanda kuandika wimbo ‘Jike Shupa’ uliomlenga ex wake Shilole. Haikuishia hapo, wawili hao waliendelea kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii na kwenye mahojiano na kulaumiana kwa mengi. Hata hivyo mlalamikaji mkubwa alikuwa Nuh aliyemwelezea Shishi kama mwanamke aliyempotezea muda wake na kumkwamisha kwenye muziki. Pia...
 

Gallery

Popular Posts

About Us