KINGAZI BLOG: 07/04/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, July 04, 2016

NEW AUDIO: Lady Jay Dee – Sawa Na Wao (DOWNLOAD)

Mwanadada anayeshika nafasi ya juu kwa ubora katika Tasnia ya muziki wa bongo fleva Lady jaydee ameachia wimbo wake mpya unaoitwa Sawa na wao, Hii ni baada ya kuachia wimbo uliyoitwa NDI NDI NDI miezi kadhaa iliyopita.Kuupata wimbo huu bofya link hii hapa chini.&nbs...

Maaaajabu!!!! Akutwa na kichwa cha binadamu

Katika hali ya kushangaza wengi mwanaume mmoja ambaye ni mfanyabiashara huko Mkoani Mbeya, amekamatwa na kichwa cha binadamu baada ya kufukua kaburi na kachukua kichwa cha marehemu, inadaiwa alifikia maamuzi hayo ili afanikiwe kibiashara. &nbs...

Yaliyojiri kutoka Karimjee Hall: Wakuu wa Wilaya za Dar Es Sallam waapishwa leo.

Hapa mkuu wa Wilaya ya Kigamboni akikabidhiwa Ilani ya CCM na kuapa kwenda kuitekeleza kwa vitendo Leo ndio mkuu wa Mkoa wa Dsm anawaapisha Wakuu wa Wilaya wapya wa Dsm.Tukio hili linafanyika katika ukumbi wa Karimjee.Wakuu wa Wilaya za Temeke,Ilala,Kinondoni,Ubungo na Kigamboni.Wakuu wa Wilaya wanne ndio wamefika isipokuwa Mkuu wa Wilaya mpya ya Ubungo ndugu Humphrey Polepole ambaye...

Kitwanga: Sijutii kutumbuliwa na Magufuli

    CHARLES Kitwanga, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amesema kuwa, hajutii ‘kutumbuliwa’ na Rais John Magufuli, anaandika Moses Mseti.Ametoa kauli hiyo wikiendi iliyopita jimboni kwake Misungwi jijini Mwanza ikiwa ni takribani mwezi mmoja baada ya kung’olewa kwenye nafasi hiyo.Kitwanga alifukuzwa kazi kwa madai ya kuingia bungeni na kujibu masali ya wizara yake akiwa amelewa.Amesema...

Mabasi ya haraka kuanza kutumia gesi

MSIMAMIZI wa Usambazaji Gesi katika Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Ismail Naleja, amesema awamu ya pili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam yatatumia nishati ya gesi asilia badala ya mafuta jambo litakalosaidia kupunguza gharama. Katika awamu ya pili, mabasi mapya 200 ya mradi huo yanatarajiwa kuingizwa nchini. Akizungumza katika Maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa...

WAUMINI WA KANISA LA UFUFUO NA UZIMA WAHOJI KUHUSU AFYA YA ASKOFU GWAJIMA

Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, wamesali Jumapili ya tatu bila kuwapo kwa Askofu wao, Josephat Gwajima,lakini wameshtushwa na taarifa kuwa kiongozi huyo wa kiroho ni mgonjwa na anapata matibabu nje ya nchi.  Waumini hao walisema wamekuwa wakisikia kuwa askofu wao anatafutwa na Jeshi la Polisi na juzi wamesikia kuwa anapata matibabu nje ya nchi wakati wao hawajatangaziwa rasmi kuhusu taarifa...

,Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo Jumatatu ya JULAI 4 kwenye habari za kitaifa kimataifa michezo na Udaku

Karibu, tunakuletea kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo Usiache kukaa karibu nasi kwenye Mitandao ya kijamii yaani facebook na twitter @tanzaniampyasasa ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us