Rais
JOHN MAGUFULI amewataka watanzania kufanya kazi kwa bidii ili
kuharakisha maendeleo ya nchi na kukuza uchumi wa taifa ikiwa ni sehemu
ya kuondokana na umasikini nchini
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimia waumini huku akisikilizwa na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya
Mashariki na Pwani Kanisa la Kiinjili la Kiluther...
Sunday, March 27, 2016
Kikao cha Baraza la 9 la wawakilishi chaitishwa visiwani ZANZIBAR
Published Under
KITAIFA
Kufuatia kukamilika kwa uchaguzi wa marudio visiwani ZANZIBAR , Katibu Mkuu wa Baraza la wawakilishi YAHAYA KHAMIS HAMAD
Katibu Mkuu wa Baraza la wawakilishi YAHAYA KHAMIS HAMAD
Kufuatia kukamilika kwa uchaguzi wa marudio visiwani
ZANZIBAR , Katibu Mkuu wa Baraza la wawakilishi YAHAYA KHAMIS HAMAD
ametangaza kuitisha kikao cha Tisa cha Baraza la Wawakilishi siku ya
jumatano...
SHARE!
CAF: Chad yajiondoa Taifa stars mashakani.
Published Under
MICHEZO
: Chad yajiondoa mashindanoni na kuicha Tanzania Taifa Stars mashakani
Chad imejiondoa
kutoka kwenye kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika
linalotarajiwa kufanyika mwakani huko Gabon.
Shirikisho la soka la Chad limefikia kauli hiyo kutokana na ukosefu wa fedh...
SHARE!
Walioshambulia Ufaransa na Brussels kupewa hukumu ya kifo.
Maafisa wa polisi nchini Ubelgiji
Rais wa Ufaransa,
Francois Hollande, amesema kuwa kundi la Waislamu wenye itikadi kali
walioshambulia Ufaransa mwaka uliopita na mashambulizi ya juma
lililopita ya Brussels wanaendelea kuangamizwa.
Alisema Serikali za Ufaransa na Ubelgiji zimefaulu kupata wanakojificha wengi wa wapiganaji hao na kuwatia...
SHARE!
Nassari aongoza maziko ya diwani pekee wa CCM
Published Under
KITAIFA
Mbunge
wa Jimbo la ArumeruMashariki, Joshua Nassari akiwa katika mazishi yadiwani pekee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naftali Mbise aliyezikwa jana
eneo la Ngarenanyuki wilayani Arumeru mkoani Arusha. ...
SHARE!
Haya hapa Magazeti ya leo jumapili March 27 2016 kwenye,habari za`kitaifa kimataifa Udaku, na michezo
Published Under
MAGAZETINI LEO
March 27 2016 nakuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa
Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa
karibu yangu kwenye facebook/tanzaniampya news blog, pia kwenye twitter @tanzaniampysasa.
...
SHARE!
Subscribe to:
Posts (Atom)