KINGAZI BLOG: 05/26/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 26, 2016

Trump apata wajumbe wa kutosha kupata uteuzi

Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha Republican Donald Trump amefikisha idadi ya wajumbe ya kupata uteuzi wa chama hicho kulingana na chombo cha habari cha AFP. Bw Trump ambaye aliwashinda wagombea wengine 16 wa chama hicho ameripotiwa kupata wajumbe 1,238 mmoja zaidi ya inavyohotajika. Chama cha Republican kinataraijiwa kukamilisha uteuzi wao katika mkutano wa chama hicho utakaofanyika...

Mrema Alaani Hatua ya Katibu Mkuu CUF Maalim Seif Kutangaza Kumwondoa Rais wa Zanzibar, Dr Shein Madarakani kabla ya 2020

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha Tanzania Labour Party  ( TLP), Augustino Mrema amelaani hatua ya Katibu Mkuu wa  CUF Maalim Seif kutangaza kumwondoa Rais wa  Zanzibar, Dr Shein  madarakani kabla ya 2020 huku akiwataka wazanzibar kutoyumbishwa na kauli za mwanasiasa huyo. Mrema amezungumza hayo leo jijini Dar es salaam mbele ya waandishi wa habari na kusema kwamba amani ya Zanzibar...

Makandarasi 4572 Wafutiwa Leseni Nchini

Bodi ya Usajili wa Makandarasi imefuta usajili wa jumla ya makandarasi 4572 kwa kushindwa kutimiza matakwa ya Sheria ya Usajili wa Makandarasi ya mwaka 1997. Hayo yamebainishwa na Kaimu Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), Bw. Rhoben Nkhori wakati wa Mkutano wa Mashauriano wa CRB uliofanyika jijini Dar es Salaam na kufunguliwa na Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano...

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo 26 May 2016

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Katika Magazetini na Mitandaoni Leo 26 May 2016 1. Job Opportunities at Acacia Mining, Application Deadline: 09 Jun 2016 2. Job Opportunity at Muhimbili University Of Health And Allied Sciences, Application Deadline: 31 May 2016 3. Job Opportunity at Embassy of Switzerland in Tanzania, Application Deadline: 26 June 2016 4. Job Opportunity at...

MOURINHO KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED

Kwa mujibu wa matandao wa Sky Sports, Jose Mourinho ametangazwa kuwa kocha mpya wa Manchester United. Tayari ameshasaini mkataba na tayari umeshatumwa kwenda Manchester na vuguvugu la tetesi za kocha huyo kujiunga na United zimekwisha. Kabla ya mashabiki hawanjaanza kusherekea ujio wa Maurinho kwenye klabu yao, Manchester United walikuwa wanachelewesha kutangaza kama dili tayari limefikiwa.  ...

Majipu yatumbuliwa Bodi ya TCU,

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako amevunja Bodi ya Tume ya Vyuo Vikuu nchini Tanzania(TCU ) kufuatia Tume hiyo kupitisha majina ya wanafunzi 486 wasio na sifa kusomea Shahada ya Elimu. Pia,Waziri Ndalichako amewasimamisha kazi Maafisa kadhaa waandamizi wa TCU kwa kushindwa kusimamia na kutekeleza vyema wajibu wa TCU. Waziri Ndalichako amewateua Makaimu wa nafasi za w...

Rais Magufuli na Mkewe Waguswa na Stori ya Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Aliyepofuka Macho..Waamua Kumchangia Mil 10 Akatibiwe

Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DktJohn Pombe Magufuli, Mkewe Mama Janeth Magufuli na familia yake kuahidi kuchangia Milioni 10 kwaajili ya matibabu ya #Kipepeo Bernadeta Msigwa mwakilishi kutoka ofisi ya Rais Bw. Ngusa Samike amefika katika ofisi za CloudsMediaGroup na kukabidhi fedha hizo. Vilevile Mheshimiwa Rais ametoa ujumbe kwa Kipepeo Bernadeta kuwa amtumainie Mungu kwani...
 

Gallery

Popular Posts

About Us