
Dodoma. Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeitaka Serikali kuteua bodi za Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Wanyamapori, ambazo zimemaliza muda.
Mbali na kuteua bodi hizo, wameiomba Serikali kutoa fedha zinazotengwa kwa ajili ya wizara kwa wakati, kuiwezesha kutekeleza majukumu yake ipasavyo.
Bodi ya Tanapa ilimaliza muda wake mwaka 2014. Tangu...