KINGAZI BLOG: 04/30/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, April 30, 2016

HIZI HAPA NAFASI ZA AJIRA KWENYE MAKAMPUNI MBALIMBALI HAPA NCHINI.

>>Nafasi za Kazi Mwananchi Communications Limited, Application Deadline Application Deadline: 13 May 2016 >>Nafasi ya Kazi Marie Stopes Tanzania >>Nafasi ya Access Bank Tanzania (ABT), Application Deadline 07 May 2016 >>Employment Posts At The Resettlement Support Center (RSC) >>Employment Opportunities At OXFAM Tanzania, Application Deadline 13th May 2016 INGIA...

Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 30 2016 kwenye,Habari zaUdaku, Kitaifa,kimataifa na michezo.

   April 30 2016 naanza kwa kukuletea habari zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,habari za kitaifa,kimataifa Michezo na udaku na stori nyingine kali ili ujue kilichojiri duniani.. usiache kukaa karibu kwenye...

Jipya kuhusu kifo cha Pamba Wemba, tazama huyu jamaa kwenye video hii.

Taarifa  ambazo zinazidi kuenea kwenye vyombo vya habari Congo na mitandao ya kijamii hata hapa Tanzania ni msiba wa Papa Wemba lakini sasa mjadala umehamia kwenye namna kifo chake kilivyotokea Kipande cha video kinachomuonesha jamaa akichukua mic halafu akairudisha kwenye stage na baada ya Pamba Wemba Kuanguka...

HII HAPA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA CHADEMA

CHADEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Vincent Mashinji amesema kuwa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi ndiyo msingi imara pekee unaoweza kuweka mifumo na taasisi kwa ajili ya maendeleo ya kweli yatakayogusa maslahi ya Watanzania wote badala ya nchi kuongozwa na kauli za viongozi. Kutokana...

LULU AAMUA KUONYESHA PETE YAKE YA UCHUMBA HADHARANI

Msanii wa filamu za kibongo Elizabeth Michael maarufu kama lulu amekuwa akipost picha mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii akiionyesha  pete aliyovalishwa iliyopo kwenye kidole chake huku akiweka baadhi ya maneno kwenye post hizo.hebu jionee hapa picha hizo,Na Haya ndo maneno aliyoyaandika. Simplicity z the key. Kwenye picha nyingine ameandika: Pale unaposikia Kwa…Kwa…Kwa…Kwa Ya Rihanna wakati...
 

Gallery

Popular Posts

About Us