KINGAZI BLOG: 05/14/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, May 14, 2016

Kibao Chamgeukia NAPE Nhauye Bungeni...Awekwa Kikaangoni na Wabunge..Aitwa Waziri Mzigo

Wabunge wamemcharukia Waziri wa Habari, Nape Nnauye kwamba aliwahi kuwaita mawaziri wa Serikali iliyopita mizigo, lakini yeye amezuia matangazo ya moja kwa moja ya Bunge, ili wananchi washindwe kumpima kama ni mzigo au lumbesa.  Hayo yalijitokeza jana wakati wabunge walipochangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Habari kwa mwaka 2016/2017, iliyowasilishwa bungeni na Waziri Nape.  Mbunge...

( DOWNLOAD) Madee - Migulu Pande( Official Video )

...

(download)LINAH SANGA - IMANI( NEW AUDIO)

...

(DOWNLOAD) Ben Pol - MOYO MASHINE (Official Video)

...

(AUDIO) SHILOLE FT BARNABA - SAY MY NAME(AUDIO)

...

Jela miaka 30 kwa kuoa na kuzaa ni binti yake wa kumzaa.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, jana ilimhukumu kifungo cha miaka 30, Godfrey Mjelwa (48), baada ya kupatikana na hatia ya kuishi kinyumba na binti yake wa kumzaa.  Hakimu Mkazi katika mahakama hiyo, Mwajuma Lukindo alisema ushahidi wa pande zote ulithibitisha kuwa mtuhumiwa alitenda kosa hilo la kuishi chumba kimoja na binti yake, kama mke na mume.  Kwa mujibu wa ushahidi uliotolewa,...

Mtoto wa Michael Jackson aanza kufuata nyayo za baba yake.

Mtoto wa nyoka ni nyoka tu. Hatimaye mtoto wa Michael Jackson, Pris Jackson (18) ameanza kufuata nyayo za baba yake kwa kuanza kutoboa ulimi. Paris amepost picha inayomuonyesha akiwa ametoboa ulimi na kuweka kipini na kuandika: “almost like ring-toss. but with noodles and needles.” Miaka kadhaa nyuma kabla ya kufariki, Michael Jackson aliwahi kujibadili muonekano wake wa ngozi na kuzua maswali...

TAJIRI ANUNUA NDEGE YA ZAMANI NA KUISAFIRISHA KWA KUTUMIA USAFIRI WA MAJINI

Ndege aina ya Boeing 767 imeanza safari kwa kubebwa na chombo cha baharini kinachovutwa na boti kuelekea eneo ambalo itabadilishwa matumizi yake na kutumika kama kivutio nchini Ireland. Mfanyabishara David McGowan ameinunua ndege hiyo ya zamani ya abiria kwa paundi 16,000 za Uingereza, ambayo inaumri wa mika 30, kutoka uwanja wa ndege wa Shannon. Awali ndege hiyo yenye uzito wa tani 50, ilikuwa...

GIGY MONEY AFUNGUKA MAZITO KUHUSU GADNER

MUUZA nyago kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Giggy Money’ amefunguka kuwa mtangazaji maarufu Bongo anayeuza maneno katika Kituo cha Redio cha Clouds FM, Gardner  G. Habash hachomoki kwake na hadi sasa wako kwenye uhusiano wa mapenzi kwa muda wa miezi sita, Risasi Jumamosi  linakumwagia ubuyu wote. Akichonga na gazeti hili baada ya picha zinazomuonesha akiwa kwenye mapozi ya kimahaba...

Rais Magufuli ataja mali zake zote anazomiliki.

RAIS John Magufuli amewasilisha orodha ya utajiri wake kwa Sekretarieti ya Madili ya Viongozi wa Umma, kama Sheria inavyomtaka.    RAIS John Magufuli Magufuli aliyeingia Ikulu Novemba 5, mwaka jana, alikuwa Mbunge ama waziri kwa miaka 20 mfululizo, akitumika kama Naibu Waziri wa Ujenzi na baadaye Waziri kamili kwenye Wizara mbalimbali. Kamishna wa Tume ya Maadili, Jaji mstaafu Salome Kaganda...

Undani kifo cha Kinyambe huu hapa

WAKATI mwili wa msanii wa vichekesho James Peter Nsemwa maarufu kama Kinyambe ulitarajiwa kuzikwa jana katika Makaburi ya Uyole mkoani Kwa mujibu wa baba wa marehemu, mzee Lugendelo Nsemwa, mwanaye aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa uchekeshaji, alianza kuumwa tangu Juni mwaka jana, ambapo tumbo na miguu ilikuwa ikijaa maji. Alisema tatizo hilo lilisababisha mapafu yake...

Lady Jaydee kumshtaki Gadner Mahakamani..Amtaka Gadner Kuomba Msamaha Mbele ya Umma

Lady Jay Dee sasa ameamua kumshtaki aliyekuwa mumewe ambaye ni mtangazaji wa kiruo cha redio cha Clouds Garner  G Habash baada ya hivi karibuni Gardner kutoa kauli zilizodaiwa kumdhalilisha jide.soma waraka huu hapa chini kutoka mahakamani...

Serikali yasitisha ajira kwa vyombo vya ulinzi na usalama kwa muda.

WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi, imesitisha kwa muda ajira zote kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vilivyomo ndani ya wizara hiyo, ikiwemo Jeshi la Polisi ili kupitia upya utaratibu wa kutoa ajira na kuondoa uwezekano wa watu wasio na sifa kujipenyeza. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni alisema hayo jana bungeni wakati akijibu swali la Mbunge wa Moshi Vijijini, Anthony Komu...

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo tar 14.5.2016 kwenye habari za kitaifa,kimataifa,udaku na michezo.

Jumamosi ya Mei 14 naanza kwa kukuletea habari zilipewa kipaumbele kwenye magazeti ya Leo.usiache kukaa karibu nasi kwenye mitandao ya kijamii yaani facebook /Tanzaniampyasasa blog na twitter@tanzaniampyasasa. ...
 

Gallery

Popular Posts

About Us