
.
Hotuba ya Godbless
sakata la mkataba wa Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi jana lilitikisa Bunge wakati msemaji wa kambi ya upinzani, Godbless Lema alipogoma kusoma hotuba ya maoni mbadala ya Wizara ya Mambo ya Ndani kutokana na kutakiwa kuondoa vipengele kadhaa, likiwamo suala hilo.
Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu alikatisha shughuli za chombo hicho jana asubuhi akieleza kuwa kwenye...