KINGAZI BLOG: 05/17/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Tuesday, May 17, 2016

Mambo saba yazuia hotuba ya Ukawa bungeni

. Hotuba ya Godbless sakata la mkataba wa Jeshi la Polisi na kampuni ya Lugumi jana lilitikisa Bunge wakati msemaji wa kambi ya upinzani, Godbless Lema alipogoma kusoma hotuba ya maoni mbadala ya Wizara ya Mambo ya Ndani kutokana na kutakiwa kuondoa vipengele kadhaa, likiwamo suala hilo. Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu alikatisha shughuli za chombo hicho jana asubuhi akieleza kuwa kwenye...

NAFASI ZA KAZI Good Neighbors Tanzania

Job Vacancy > Accountant Location > Dodoma  Position Type > Full Time  Organization Type > NGO Good Neighbors Tanzania Application Deadline: 04 Jun 2016 ACCOUNTANT POSITION DESCRIPTION: Position Description Document (download)  APPLICATION INSTRUCTIONS: Mode of Application Interested and qualified Tanzanians are invited to send their applications...

Serikali Kuajiri Askari Wapya 3700....... Askari 7000 na Wakaguzi 1300 Watapandishwa Vyeo

Serikali  inatarajia kumwaga ajira kwa askari  katika mwaka ujao wa fedha.Taarifa juu ya ajira hizo, zilitolewa jana bungeni  na  waziri  mwenye dhamana. Akiwasilisha Makadirio ya Mapato ya Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka 2016/17 kuhusu ajira za askari, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga alisema wataajiriwa askari wapya 3,700 katika mwaka wa fedha...

MPYA KUHUSU VIJANA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA KUJIUNGA NA JKT MWAKA 2016

...

Mama atumiwa picha bintiye akidhalilishwa

Dar es Salaam. Mama mzazi wa binti mmoja mkazi wa Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro hivi karibuni alipokea ujumbe wa picha ya video katika simu yake ya mkononi na haraka aliifungua akiwa na shauku ya kuitazama. Lahaula! Shauku yake ya kuitazama video hiyo aliyodhani ni sawa na nyingine za matukio ambazo amekuwa akiziona zikisambazwa mitandaoni, iligeuka huzuni na fedheha kubwa alipoona ikimwonyesha...

Jeshi la Polisi lawanasa Mahausigeli 15 waliokuwa wakipelekwa Oman.

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata wasichana 15 katika nyumba iliyopo maeneo ya Ukonga, waliokuwa tayari kusafirishwa kwenda Oman kufanya kazi za ndani. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi wa kanda hiyo, Simon Sirro, alisema wasichana hao walikamatwa baada ya Polisi kupata taarifa toka kwa msiri kuwa kuna mtu amewaweka wasichana kwa...

Magazeti ya Leo Jumanne ya May 17 2016

  ...

Walimu 35,411 Kuajiriwa Mwezi wa 7 Mwaka Huu

Walimu 35,411 nchini wataajiriwa katika shule za msingi na sekondari katika mwaka wa fedha 2016/2017. Watakaokaidi kwenda kuripoti katika mikoa ya pembezoni, hawataajiriwa na serikali. Hatua hiyo imeelezwa kwamba imetokana na serikali kupokea maombi mengi ya kazi kwa walimu, ambao mwaka jana hawakuripoti katika vituo walivyopangiwa pembezoni mwa miji kwa kutegemea kuajiriwa na shule binafsi, lakini...

JE VIPODOZI VYAKO UNAVYOTUMIA KUPENDEZESHA NGOZI YAKO

Ndugu msomaji wa kila siku wa makala zangu leo ningependa kusema yafuatayo katika makal yangu ya leo inayo husu namna ya kuchagua kitunza ngozi ambacho ni salama kwa afya yako. ZIFUATAZO NI FIKRA POTOFU KUHUSU NGOZI YAKO NA VIPODOZI 1. Kipodozi ambacho kinachubua ngozi ndicho huitwa kipodozi chennye KEMIKALI. Hii fikra potofu ina angamiza afya za watu ungana name ujue kipodozi kipi ni kemikali...
 

Gallery

Popular Posts

About Us