KINGAZI BLOG: 05/28/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Saturday, May 28, 2016

Wimbo wa 'Panya' Wakiponza Kitua cha EATV, Chapigwa Faini ya Milioni 3 na TCRA

Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), imevitoza faini vituo vya East Africa Television na Entertaiment FM (E- FM) baada ya kukiuka kanuni za utangazaji. Akisoma nakala ya hukumu hiyo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya TCRA, Joseph Mapunda alisema baada ya kupitia maelezo ya utetezi kutoka kwa viongozi wa vituo hivyo, kamati hiyo imeamua...

Waziri atangaza Kiama wenye elimu feki

Dodoma. Waziri wa Elimu, Profesa Joyce Ndalichako amesema Serikali itafanya msako katika vyuo vyote nchini ili kubaini wanafunzi waliodailiwa bila kuwa na sifa kama ilivyotokea kwa wanafunzi 480 wa Chuo Kikuu cha St Joseph. Vilevile, amesema msako kama huo utafanyika katika maeneo ya kazi ili kubaini wafanyakazi walioajiriwa bila kuwa na sifa stahiki. Profesa Ndalichako alisema hayo jana jioni wakati...

Watumishi Wavaa Vimini, vipedo, t-shirt, Jeans Kufyekwa Mshahara

HALMASHAURI ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, imepiga marufuku watumishi wote wa halmashauri hiyo kuvaa mavazi ambayo hayana maadili katika sehemu za kazi na kwamba atakayebainika atarudishwa nyumbani na kukatwa mshahara wa siku husika. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Adriano Jungu wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Bomani...

Ali Kiba Apata Mpenzi Mwingine, Asema: Nikimrudia Jokate nisutwe

Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’  Siku chache baada ya kusaini mkataba wa kimataifa na Kampuni ya Sony, Staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ amedaiwa kufunguka kuwa, kamwe hawezi kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake na akifanya hivyo asutwe mchana kweupe. Kiba na Jokate. Chanzo makini ambacho kipo karibu na msanii huyo kimeeleza kuwa, staa huyo amegundua...

VIDEO:Mkuu wa Mkoa Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mwanae

Mkuu wa zamani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba na mshauri wa Rais wa Zanzibar kisiwani humo, Dadi Faki Dadi amekamatwa akituhumiwa kufanya mapenzi na mtoto wake wa kambo.Dadi alikamatwa juzi akidaiwa kukutwa na mtoto huyo wa mkewe wa ndoa mwenye umri wa miaka 21 katika nyumba ya kulala wageni inayoitwa Executive, jirani na makao makuu ya Uhamiaji Zanzibar katika eneo la Kilimani chini na Maisara,...

Gigy Money sikio la kufa

KUONESHA kwamba haoni wala hasikii, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amezidi kutia fora kwa kunaswa na wanaume tofauti safari hii, ametupia picha kimahaba akiwa na msanii wa Singeli, Amani Fongo. Gigy ambaye amekuwa akitupia picha za nusu utupu katika Mtandao wa Instagram pamoja na kuwa kimahaba na wanaume tofauti kama staa wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’, mtangazaji Gardner G. Habash na Idris...
 

Gallery

Popular Posts

About Us