
Marehemu James Peter a.k.a Kinyambe
MSANII wa vichekesho James Peter Nsemwa maarufu kama Kinyambe ambaye alifariki dunia jana mkoani Mbeya, atazikwa kesho katika makaburi ya Uyole mkoani Mbeya.
Baba wa marehemu, mzee Lugendelo Nsemwa, ameuambia mtandao huu akiwa nyumbani kwake Uyole, kuwa mwanaye ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa uchekeshaji,
alianza kuumwa tangu...