KINGAZI BLOG: 05/12/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Thursday, May 12, 2016

Kinyambe kuzikwa kesho Kwao Mbeya.

Marehemu James Peter a.k.a Kinyambe MSANII wa vichekesho James Peter Nsemwa maarufu kama Kinyambe ambaye alifariki dunia jana mkoani Mbeya, atazikwa kesho katika makaburi ya Uyole mkoani Mbeya. Baba wa marehemu, mzee Lugendelo Nsemwa, ameuambia mtandao huu akiwa nyumbani kwake Uyole, kuwa mwanaye ambaye alijipatia umaarufu mkubwa kutokana na uwezo wake wa uchekeshaji, alianza kuumwa tangu...

ALLY KIBA KUTOA VIDEO MPYA HIVI KARIBUNI,CHECK KIPANDE KIDOGO CHA VIDEO HIYO

Aje video by Ali Kiba to be released soon, as the times going own Kingkiba starts to trend through our Social network of Makubwa haya news, after he starts to post the photos of his new video of Aje by Alikiba, he have reveals through makubwa haya news that he will be releasing his new Video of aje on 13 May 2016, so stay tune with your number one entertainment website of Tanzania Makubwa haya,...

Hebu jionee Shilole alivyochapia kiingereza wakati akitambulisha Video mpya.

Video Of Silole Aka Shishi Baby speaking Brocken English by inroducing her new Video of say my nam...

Picha Diamond na Mafikizolo Walivyotinga Bungeni leo

May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha burudani Chuo kikuu Dodoma. Tazama Video Hapa: diamondplatnumz 1 hour ago + FOLLOW Ilibidi kujikausha na kueka sura ya userious ili furaha isiwazidi tukaja haribu Hali ya hewa ikawafujo...

Ubonge wa Mwili Wamtesa Joyce Kiria, Ahofia Kuipoteza Ndoa yake.

MTANGAZAJI wa Kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa kupitia EATV, Joyce Kiria ameweka wazi kuwa hivi sasa yuko kwenye mikakati ya kupunguza mwili wake ili asije kupoteza ndoa.  Akizungumza na Amani Joyce alisema, amekuwa akiuweka mwili wake sawa ili usinenepe sana kwa kuwa hataki tena kuonekana mzee akawapa nafasi wasichana ‘potabo’ wakaingilia ndoa yake na kuipoteza. “Akuu!! Kisa cha kujizeesha...

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo Alhamisi tar 12 Mei 2016 kwenye habari za kitaifa kimataifa na michezo.

...

Video: Hebu jionee baadhi ya video za vichekesho za KINYAMBE enzi za uhai wake.

Baadhi ya kazi alizofanya marehemu Kinyambe enzi za uhai wake;akiwa na kundi la vituko show. R. I. P. KINYAMBE  BOFYA HAPA KUONA VIDEO- 1 BOFYA HAPA KUONA VIDEO YA 2 BOFYA HAPA KUONA VIDEO YA...

TANZIA:MSANII MAARUFU WA VICHEKESHO KINYAMBE AFARIKI DUNIA

Msanii aliyekuwa anakuja kwa kasi katika Tasnia nzima ya filamu za kuchekesha za bongo (Bongo comedy),Maarufu kama KINYAMBE ambaye jina lake Halisi ni JAMES PETRO NSEMWA  hatunaye tena duniani baada ya kufariki dunia jana usiku.    Habari kutoka kwa ndani ya familia zinasema KINYAMBE amefariki Dunia  baada ya kuugua kwa siku kadhaa japo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa juu ya...
 

Gallery

Popular Posts

About Us