KINGAZI BLOG: 05/08/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, May 08, 2016

Abiria 73 Wametekea Hadi Kufa Katika Ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta

Abiria 73 wametekea hadi kufa katika ajali mbaya iliyohusisha mabasi mawili ya uchukuzi wa umma na lori la kubeba mafuta nchini Afghanistan. Msemaji wa wizara ya afya alieleza kuwa watu kama 70 walikufa...na kwamba wengi waliteketea na hawatoweza kutambulika. Wakuu wa Afghanistan wanasema kuwa idadi inazidi kuongezeka ya watu waliokufa katika ajali hilo lililotokea katika barabara ya mji mkuu wa...

Floyd Mayweather Kurudi Tena Ulingoni, Kuzichapa na Staa wa UFC, Conor McGregor

FLOYD MAYWEATHER na staa wa UFC, Conor McGregor wapo mbioni kuingia ulingoni kuzichapa kwenye pambano kubwa na aghali zaidi la masumbwi katika historia. Gazeti la The Sun limedai kuwa Mayweather, anatarajia kuzichapa na staa huyo jijini Las Vegas mwaka huu. Mayweather alitangaza kustaafu ndondi akiwa ameshinda mapambano yote 49 aliyowahi kupigana. Kwenye pambano hilo Mayweather atachukua paundi...

Kwa Hali Hii ni ‘Ni Ndoto Tanzania Kuwa na Uchumi wa Viwanda

Wabunge wamesema ni vigumu Tanzania kufikia lengo la kuwa na uchumi wa viwanda iwapo Serikali itaendelea kusuasua kutekeleza miradi yenye mchango mkubwa katika sekta hiyo. Akisoma maoni ya Kamati ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka 2016/17, Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo, Vicky Kamata alisema hawaridhishwi na namna Serikali inavyotoa fedha za bajeti kwa ajili ya utekelezaji wa miradi...

UNYAMA WA KUTISHA! MUME AMKATA NYETI MKEWE ILI AKAZIUZE MIL. 5

Unyama wa kutisha kisa utajiri! Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 (pichani jina linahifadhiwa), anadai kukatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Mashaka ili akauze Sh. milioni tano za Kitanzania akauze kwa mganga wa kienyeji ili apate mtaji.Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 aliyekatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe anayefahamika kwa jina moja la Mashaka. Kwa...

Magazeti ya tanzania yalichoandika leo jumapili ya Mei 8 kwenye habari za udaku kitaifa kimataifa. Michezo na stori nyingine kali

...

MAAJABU YA DUNIA..:, ANGALIA WATOTO WALA MAYAI YA CHURA NA KUZUNGUMZA LUGHA YA AJABU.

Watoto wamekaa na mamayao wakila chakula.nchini Uganda watoto watatu waliofungiwa na baba yao kwa miaka saba wameanza kuzungumza lugha isiyofahamika. Watoto watatu kutoka kijiji cha Barca katika kaunti ndogo ya Aber Wilayani Oyam nchini Uganda wameanza kuzungumza lugha tofauti isiojulikana baada ya kufungiwa katika nyumba kwa miaka saba.Lugha hiyo mpya imetajwa kuwa Leb -adam ikimaanisha lugha ya...
 

Gallery

Popular Posts

About Us