KINGAZI BLOG: 08/10/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, August 10, 2016

Gazeti la Mseto lapewa siku 7 kumuomba radhi na kumlipa Bilioni 1 Naibu Waziri wa ujenzi

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi, Edwin Ngonyani amelitaka gazeti la Mseto kumuomba radhi na kumlipa fidia ya shilingi bilioni moja kutokana na kuandika habari ya kumchafua. Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake Waziri Ngonyani amesema kuwa Gazeti hilo la tarehe 4 Agosti 2016 liliandika habari yenye kichwa cha Habari “Waziri amchafua JPM” ikimuhusisha na upokeaji...

Historia ya jezi namba 6, Manchester United katika EPL

Mnamo msimu wa mwaka 1992-1993 ligi kuu ya nchini England ilianza kutambulika kama ‘ENGLISH PREMIER LEAGUE (EPL) ‘ Ni ligi inayohusisha Club 20, Manchester ikiwa ni moja ya timu ya mpira inayoshiriki katika ligi hiyo.Ni klabu kubwa nchini England na barani Ulaya kwa ujumla, ndiyo club inayoongoza kwa kutwaa kombe hilo ikiwa imechukua mara 13 tangu ligi hiyo iaanze kutambulika kama EPL. Ni klabu...

Wanawake 2 wakiri kufanya mapenzi na wanaume 355,000

Wanawake wawili (pacha) walio na miaka sabini na nne wameeleza kuhusu maisha yao na kazi yao ya Ukahaba. Louise na Martine Fokkens wameeleza kuwa wamefanya kazi ya ukahaba kwa miaka 50 na kufanya mapenzi na zaidi ya wanaume 355,000! “Hatukuwa na pesa, marafiki wa mume wangu ndio waliosema kuwa ingekuwa njia bora ya kupata pesa, ikabidi nijaribu. Wazazi wetu hawakuipenda hiyo kazi, ijapokuwa...

Rais Uhuru Kenyatta awaita wageni wake 'Wezi'

 Rais Uhuru Kenyatta amejulikana kwa maoni yake hasa yanayowahusu wafisadi serikalini. Katika mkutano ulioandaliwa katika ikulu ya Rais, Rais Kenyatta alisema kuwa kulikuwa na wezi kati yao. Aitha, Rais Kenyatta alimpa changamoto Mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya Bandari nchini Catherine Mturi, na kumsihi kulishughulikia swala la ufisadi katika bandani Pwani.  “Ufisadi upo hata katika...

Rais Magufuli Aanza Ziara Yake Mkoani Mwanza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya kuwasili katika Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza.   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wakazi wa Sengerema mkoani Mwanza mara baada ya kuwasili akitokea Chato mkoani Geita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

Mwigulu Nchemba Awaonya Polisi Wanaowabambikiza Kesi Raia

Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu Nchemba amewaambia askari wa jeshi la Polisi mkoani Katavi kufanya kazi kwa taratibu na sheria bila kumuonea mtu yeyote hasa wanyonge. Waziri Mwigulu ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake ya kutembelea makazi ya watanzania wapya pamoja na kuzungumza na askari wa jeshi la polisi, Magereza pamoja na Uhamiaji. Mhe. Mwigulu amesema kuwa Askari hao waondokane na...

Kufanya Mapenzi na Binamu ni Halali Kenya..Mahakama Yapitisha

Mahakama ya juu nchini Kenya imehalalisha ngono baina ya mabinamu kwa sababu inakubalika katika baadhi ya jamii nchini humo. Mahakama hiyo imemuachilia huru mtu mmoja aliyekuwa amefungwa kwa kosa la kushiriki ngono na binamu yake mwaka wa 2014 kwa sababu sio makosa nchini Kenya. Jaji wa mahakama ya juu James Makau, alisema katika uamuzi kuwa kujamiana kwa maharimu sio haramu nchini Kenya. ''Ibara...

MAGAZETI YA LEO JUMATANO AUGUST 10 2016

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us