KINGAZI BLOG: 05/20/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Friday, May 20, 2016

Sakata la Escrow na IPTL Laibuka Upya Bungeni

Kambi ya upinzani imeliibua upya  bungeni sakata la Escrow, Richmond na umiliki wa kampuni ya IPTL, huku ikihoji sababu za Rais John Magufuli kutoheshimu maazimio ya Bunge ya kumwajibisha Sospeter Muhongo, badala yake kumteua tena kuwa Waziri wa Nishati na Madini. Hoja hizo ziliibuliwa na Waziri Kivuli wa Nishati na Madini, John Mnyika wakati akiwasilisha maoni ya utekelezaji wa bajeti ya...

Diamond Platnumz Atajwa Kuwania Tuzo za BET

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo. Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekan...

Gardner Amjibu Lady Jay Dee, Agoma kuomba Radhi

Hatimaye mtangazaji wa Clouds Fm, Gardner G. Habash amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo. Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) jijini...

magazeti ya Tanzania leo Ijumaa tar 20 Mei

Naanza kwa kukuletea Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya May 20.usiache kukaa karibu nasi kwenye mitandao ya kijamii yaani facebook na twitter@Tanzaniampyasasa ...

Jide kumuanika mrithi wa Gardner Leo!

Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’ Exclusive! Lejendari wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka kumi na tano, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, anatarajia kumuanika mrithi wa aliyekuwa mumewe, Mtangazaji wa Kituo cha Radio CloudsFM, Gardner G. Habash ndani ya saa 24, Ijumaa lina data kamili. HABARI ZA KUAMINIKA Kwa mujibu wa habari za kuaminika zilizothibitishwa na uongozi wa staa...
 

Gallery

Popular Posts

About Us