KINGAZI BLOG: 06/22/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Wednesday, June 22, 2016

Nape: Nilitishiwa maisha yangu na watu wasiojulikana

. Dodoma. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wakati wa mchakato wa chama kurejesha imani kwa wananchi hali ilikuwa ngumu kwake hadi kufikia kutishiwa maisha na watu wasiojulikana. Mbali ya watu hao kumpigia simu za vitisho nyakati za usiku, pia walikuwa wakimchafua kupitia mitandao ya kijamii lakini anamshukuru Mwenyezi Mungu alivuka salama na chama kimevuka salama. “Tulipoanza...

Mahakama Yamkuta na Kesi ya Kujibu Askari Mtuhumiwa wa Mauaji ya Mwangosi

 Daud Mwangosi enzi za uhai wake. Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemkuta na kesi ya kujibu aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mjini Iringa, Pasificus Cleophace Simon katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha runinga cha Channel Ten, Daud Mwangosi. Daud Mwangosi aliuawa Septemba 2, 2012 katika Kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi...

Askofu Gwajima Kusakwa na Interpol Popote Alipo

Siku moja baada ya wakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, Peter Kibatala kuwaandikia barua Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro amesema hawafanyi kazi kwa kufuata barua ya askofu huyo. Sirro alithibitisha kupata barua hiyo, lakini akasema kuwa wanaendelea kumtafuta popote pale alipo na wakifahamu watamtia nguvuni. Sakata la kutafutwa kwa kiongozi...

MAAAJABU YA MWAKA!!!!! MTOTO WA AJABU MWENYE VICHWA VIWILI AZALIWA GEITA

WANANCHI katika kijiji Kaseke kata ya Kasami wilayani na Mkoani Geita wamekubwa na taharuki na wasiwasi mkubwa mara baada ya Geresi Saidi( 20) Kujifungua mtoto wa kiume mwenye vichwa viwili vinavyofanana sura. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jumapiri majira ya saa sita usiku katika katika kituo cha afya katoro alikwenda kujifungua muda mfupi baada ya kupata uchungu. Channel Ten ilifika kijiji...

Kitwanga Afunguka Kwa Mara ya Kwanza......Asema haya , Wiki Ijayo atarajia Kutua Bungeni.

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema yupo imara na amerejea nchini akiwa na matumaini mapya. Pamoja na hali hiyo, amesema kuwa hivi sasa anajipanga kufanya kazi usiku na mchana kuhakikisha anaisaidia nchi pamoja na wapigakura wake na kuwa na maendeleo ya kweli na Jumatano ya Julai 29, ataripoti bungeni. Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana baada ya kurejea akitokea...

CHOMBEZO FUPI: JAMANI ANKO

Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi. Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea. Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha. Madam Jesca alikuwa ni mwalimu...

Lil Wayne - Skate It Off (Official Video) | Download Mp4

...

CASAR BABY - WANANUNA(AUDIO)

...

Yamoto Band Ft Ruby - Suu(AUDIO)

DOWNLO...

MWASITI FT LINAH - UNANIANGALIA(AUDIO)

 Brand new  #HitTrack from  Mwasiti almas ft Linah Sanga here the link you can download for free. CLICK HERE TO DOWNLO...

Hizi hapa Mbinu Za Kufanya Kama Mwanamke Hataki Kujibu Texts Zako!!!zisome hapa

Unafukuzia mwanamke mzuri mnaanza kuzungumza. Mnachukua muda wa dakika 20 hadi 30 kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake. Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa...

Haya Ni Mambo Yanayokupa Udhaifu Wewe Mwanaume Hadi Kushindwa Kumridhisha Mwanamke Wako Kitandani.

Ni kitu kinachofahamika kutokana na utafiti kuwa wanawake wengi hawaridhishwi kihisia kwasababu utendaji wa wanaume wengi kitandani umepungua.Haijalishi unampa nini mkeo au mpenzi wako, kama huwezi kumridhisha, ataendelea kutokuwa na furaha, mlalamikaji na wakati mwingine kama akijaribiwa nje, huenda akajaribu bahati yake kwingine.Tena kama mpenzi wake kabla ya kuolewa alikuwa akimtosheleza, usishangae...

Jinsi Ya Kuwavutia Wanawake Bila Kutamka Neno

Ushawahi kujikuta katika hali ambayo unashindwa kujua utaanza vipi kuongea na mwanamke? Ni mwanamke mzuri ambaye moyo wako unamtamani lakini akili yako inashindwa kutengeneza mawazo ya jinsi utakavyoanzisha stori na yeye. Unabakiwa ukimuangalia akikupita mbele yako, ama mbaya zaidi anakuja kuchukuliwa na wanaume wasiokuwa na thamani yeyote kwa maisha yake. Unabakia na majutio na mawazo ya "kama...

Zifahamu Faida za Kutokuvaa Chupi hebu zisome hapa.

Leo naomba nikukumbushe somo la Afya ya uzazi. Somo hili litafafanua faida na hasara au madhara yatokanayo na uvaaji wa nguo za ndani hasa Chupi. Uvaaji wa chupi kihistoria ulianza karne ya 19 baada ya uvumbuzi wa viwanda na mapinduzi yake yaliyoambatana na mapinduzi ya teknolojia. Enzi za mama zetu na babu zetu uvaaji wa chupi haukuwepo hapa Tanzania. Uvaaji wa chupi uliletwa na wamisionari...
 

Gallery

Popular Posts

About Us