KINGAZI BLOG: 05/23/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Monday, May 23, 2016

TAZAMA JINSI YA KUTAJIRIKA KWA TSH 1000 TU.

Moja ya sababu kubwa ambayo watu wengi husema kwamba inawazuia kufanya biashara ni mtaji. Mimi huwa nakataa sana sababu hii kwa sababu haiwezekani leo huna mtaji, mwaka kesho huna mtaji na hata miaka mitano ijayo huna mtaji. Nasema mtaji ni kigezo tu ambacho watu wengi hutumia kuficha sababu halisi ya kutokuingia kwenye biashara ambayo ni kutokujipanga na kutokuwa tayari. Leo nakushirikisha siri...

Magazeti ya Leo Jumatatu ya May 23, Ikiwemo ya Spika Afichua Wabunge Wavuta Bangi na Unga

...
 

Gallery

Popular Posts

About Us