KINGAZI BLOG: 10/16/16

KARIBU UHABARIKE KIGANJANI MWAKO.

Breaking News
Loading...

Sunday, October 16, 2016

CHOMBEZO: ILAMBE HUMOHUMO sehemu ya -1

NILAMBE HUMO HUMO-1 Nilambe Humo Humo - 1 MTUNZI: HUSSEIN WAMAYWA SIMU: 0755 697335 SEHEMU YA KWANZA Kidokezo …ulikuwa mduara wa Segere kwa lugha isiyo rasmi. Au ‘mnanda’ kama ilivyozoeleka. Baadhi ya wakazi wa kitongoji hicho walikuwa wakizunguka kwa pozi huku wakizungusha viuno vyao taratibu kwa ustadi mkubwa.  Mirindimo ya ngoma sambamba na kiuno cha mwanamama mmoja kilichokuwa...

Sh 330 milioni kusaidia upasuaji wa moyo kwa watoto nchini

Dar es Salaam. Jumla ya Sh303 milioni zimekabidhiwa kwa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) ili kukamilisha matibabu ya upasuaji kwa watoto 138 wanaosubiri huduma hiyo kwa sasa. Fedha hizo zimewasilishwa leo na taasisi tatu tofauti ikiwemo ya Baps Charities iliyotoa Sh222 milioni, Youth Welfare Trust Sh48,400,000 milioni na I & M Bank iliyotoa Sh33 milioni. Akizungumzia mara baada...

Waasi 'waiteka' ngome muhimu ya IS Syria

Waasi wanaoungwa mkono na serikali ya Uturuki nchini Syria wameuteka mji muhimu wa Dabiq kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State,kulingana na makamanda wa waasi hao na wachunguzi. Waasi hao waliuteka mji wa Dabiq baada ya wanachama wa kundi la Islamic State kuuondoka kulingana na kundi la haki za kibinaadamu lililo na makao yake huko Uingereza. Mji huo mdogo wa Kaskazini una thamani kubwa kwa IS...

Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

 Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii. Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika. “Team Tanzania Mungu ni mwema siku zote,” ameandika Harmonize baada ya ushindi huo. Harmonize akiwa na Akothee aliyeshinda...

Mwana Samatta Atajwa Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya GENK ya nchini Ubelgiji ametajwa miongoni mwa wachezaji 30 wanaowani Tuzo ya Mchezaji Bora ya Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Wachezaji wengine ni pamoja na Mkenya Victor Wanyama anayecheza ligi kuu ya Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspur, Denis Onyango kutoka Uganda anayekipiga katika klabu ya Mamelodi Sundowns. Hapa...

Mamelodi Sundowns yajiweka pazuri kutwaa klabu bingwa Afrika

Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini imejiweka kwenye nafasi nzuri kuelekea mchezo mchezo wa marudiano wa fainali ya klabu bingwa Afrika Jumamosi ijayo baada ya kuifunga Zamalek 3-0 kwenye mechi ya kwanza mjini Pretoria. Licha ya ushindi huo mnono ilioupata Sundowns, tangu mwaka 2010 ambapo TP Mazembe iliifunga Esperance ya Tunisia 5-0, bado hakuna klabu ambayo imeweza kufanya hivyo kwenye mchezo...

Mkuu wa mkoa wa Mwanza amezindua meli kubwa ya kisasa yenye uwezo wa kubeba abiria 500

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongela amezindua rasmi huduma ya usafiri wa meli kati ya Mwanza na mji wa Nansio wilayani Ukerewe katika ziwa Victoria, ambayo itakuwa na uwezo wa kubeba abiria 500 magari madogo 40 na tani 284 za mizigo, hatua itakayosaidia kutatua changamoto ya huduma za usafiri wa abiria kwa wakazi wa kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza. Meli hiyo MV. Nyehunge II, imejengwa na kampuni...

Madereva wa vigogo walia na agizo la Rais Magufuli kurejesha fedha za Mwenge

Madereva na Wasaidizi wa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya mbalimbali nchini ambao walikuwa tayari wamefika Mkoani Simiyu kushiriki sherehe za kilele cha mbio za Mwenge wameeleza kuumizwa na agizo la kurejesha fedha za kujikimu ambazo kiasi walizitumia kwa shughuli husika. Walisema kuwa agizo hilo la Rais John Magufuli kwao limewatengenezea tatizo lingine la kiuchumi kwani liliwafikia kwa kuchelewa. Baadhi...

Unene husababisha muda mfupi wa kuishi

Uzito ni sawa na uvutaji wa sigara ambao huleta matatizo makubwa kwa watu ambao wamo katika kilinge hicho. Wataalam wa afya na urembo wanasema wazi kuwa mnene kunapunguza sit u namna ya kujiweka sawa katika masuala mbalimbali ya kijamii lakini pia unakuwa na muda mfupi sana wa kuishi duniani. Wataalam wanasema kwamba kuwa mzito kunapunguza maisha yakokwa miaka mitatu anasema mtafiti Gary Whitlock...
 

Gallery

Popular Posts

About Us