Habari kutoka kwa ndani ya familia zinasema KINYAMBE amefariki Dunia baada ya kuugua kwa siku kadhaa japo taarifa zaidi zitaendelea kutolewa juu ya undani wa kifo cha staa huyo wa vichekesho nchini.

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMINA.
(R.I.P.KINYAMBE)